Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
Nimeangalia game ya Mc Alger na Mazembe ya jana(ijumaa) kule Algeria ,well ukweli ni kwamba hamna timu kati ya zile yenye quality ambayo Yanga wanayo
Nadhan itakuwa sio fair kwa mpira wa miguu kwa Yanga hii ya Pacome,Aucho , Baka etc kutoenda robo halafu aende Mc Alger,plus the fact kwamba timu za Tanzania zina amsha amsha kubwa kwenye hii michuano na CAF wenyewe wanalijua hilo.
ALL THE BEST DEPORTIVO LE UTOPOLO MJISHIKILIE IBENGE ASIWASHENYETE TENA MTATUTIA AIBU KAMA TAIFA.
Nadhan itakuwa sio fair kwa mpira wa miguu kwa Yanga hii ya Pacome,Aucho , Baka etc kutoenda robo halafu aende Mc Alger,plus the fact kwamba timu za Tanzania zina amsha amsha kubwa kwenye hii michuano na CAF wenyewe wanalijua hilo.
ALL THE BEST DEPORTIVO LE UTOPOLO MJISHIKILIE IBENGE ASIWASHENYETE TENA MTATUTIA AIBU KAMA TAIFA.