Mshabiki kindakindaki wa Mnyama, Simba SC ila nasimama na Yanga SC wapite kwenda robo fainali

Mshabiki kindakindaki wa Mnyama, Simba SC ila nasimama na Yanga SC wapite kwenda robo fainali

Mbali na kuipenda Simba pia naupenda mpira zaidi nadhan utanielewa upande huo
Uto wamechoka blo. Kuzifunga hivi vitimu sijui Dodoma Jiji sijui Mazembe iliyojichokea kusikupumbaze. Yanga hii ikikutana na timu kama Pyramids au Esperance watatia aibu nakwambia. Wakitoka mapema washukuru kikombe walichokiepuka.

Ni kweli MCA siyo timu ya kutisha kihivyo ila kila mechi ina pressure zake. Kuiangalia MCA kwa mechi ya jana tu ni kuukosea mpira.
 
Uto wamechoka blo. Kuzifunga hivi vitimu sijui Dodoma Jiji sijui Mazembe iliyojichokea kusikupumbaze. Yanga hii ikikutana na timu kama Pyramids au Esperance watatia aibu nakwambia. Wakitoka mapema washukuru kikombe walichokiepuka.

Ni kweli MCA siyo timu ya kutisha kihivyo ila kila mechi ina pressure zake. Kuiangalia MCA kwa mechi ya jana tu ni kuukosea mpira.
Ok tuombee angalau Yanga apate sare kwa Al hilal ili ibaki battle ya Yanga na Mc Alger hapo ndo kitaumana vzr na tutaelewana.
 
Ukipiga ile code calculator inazima kabisaaa
 

Attachments

  • Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    272.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom