Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
- Thread starter
- #21
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba kila mtu ana gari humu ndani [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba kila mtu ana gari humu ndani [emoji28]
Humu ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Naona watu wakijuzana tu vijiweni, kazi gani, kwakweli sijui
Ni kama hapa JF, tusio na magari hatuzidi 7
Thubutuuu [emoji28]Nasikia mishahara imenona sana siku hizi, kila unayemuuliza anazungumzia kuanzia 1.5m baada ya makato.
Hiki kitu kimenichelewesha sana kufika nchi ya asali na maziwa.Shida yako wewe hutoi fungu la kumi!!! Ndo maana haiwezi kutosha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umetumiwa sana ndugu umekuja kugundua muda umekutupa mkono [emoji119][emoji119]Hiki kitu kimenichelewesha sana kufika nchi ya asali na maziwa.
Nilipokuja kukigundua ni mwendo mserereko tu kutosheka na ninachopata.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wanadanganya sio?
Nilikuwa mchungu sana kutoa zaka utadhani nilikuwa napata pesa kwa nguvu na juhudi zangu mwenyewe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umetumiwa sana ndugu umekuja kugundua muda umekutupa mkono [emoji119][emoji119]
Ningeshangaa hii mada iishe bila kutaja walimuMishahara ya Ualimu ndio kabisa na cha kuiba HAKUNA huko hata chaki haziibiki.
.. kuna watu wanalipwa million 15 na haiwatoshiMimi nikute take home ya 5M kwenye akaunti, itanitosha
Mishahara ya watumishi haina tofauti kubwa,shida hakuna posho kada ya uwalimuMishahara ya Ualimu ndio kabisa na cha kuiba HAKUNA huko hata chaki haziibiki.