Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,164
- 573
Wajamen kuna kisa kimemtokea rafiki yangu nikabaki naduwaa!!!
Kuna mdada tunafahamiana nae anafanya kazi katika Taasisi fulan hapa nchini, ameolewa na ndoa yao ina kama miaka 7 hivi.
Mimi kwa mtazamo wangu watu wanapokuwa kwenye ndoa wanakuwa wanawekana wazi vipato vyao ili kuweza kupanga shughuli za maendeleo kutokana na hicho kipato chao.
Cha ajabu mwishon mwa 2011 huyo rafiki angu(Mdada) mishahara yao ilikosewa na wahasibu wa bank, wakalipwa malipo ambayo hawakustahili (walilipwa kiasi kikubwa zaidi)
Mi cha kunishangaza huyu rafiki yangu hakumweleza mumewe tukio hilo ingawa yy aligundua kuwa kalipwa zaidi ya staili yake.
Sasa limetokea tatizo, bank wamegundua kosa walilolifanya, na wamehamua kukata kwenye acc yake kiasi ambacho walimwongezea wakati huo.
kwa kuwa aliongezewa kiasi kikubwa sana mshahara wake hauwezi ku compasate hilo deni so wamekata mshahara wote na bado inaonekana deni halijaisha, labda mshahara wa mwezi unaofuata.
Dada rafiki yangu hana hata sent moja kumwambia mumewe kilichotokea akiogopa manake hilo ongezeko hakumshirikisha na amelitumia kwa matumizi ambayo anayajua YY tu.
Sasa anatakiwa kulipa ada shuleni na matumizi mengine, kuomba kwa mumewe anaogopa coz anajua alichofanya.
Sasa ananiomba ushauri aanzeje kumweleza mumewe ili aweze kumsaidia maisha yaende.
Naomben ushauri nimpe huyu mdada.
Kuna mdada tunafahamiana nae anafanya kazi katika Taasisi fulan hapa nchini, ameolewa na ndoa yao ina kama miaka 7 hivi.
Mimi kwa mtazamo wangu watu wanapokuwa kwenye ndoa wanakuwa wanawekana wazi vipato vyao ili kuweza kupanga shughuli za maendeleo kutokana na hicho kipato chao.
Cha ajabu mwishon mwa 2011 huyo rafiki angu(Mdada) mishahara yao ilikosewa na wahasibu wa bank, wakalipwa malipo ambayo hawakustahili (walilipwa kiasi kikubwa zaidi)
Mi cha kunishangaza huyu rafiki yangu hakumweleza mumewe tukio hilo ingawa yy aligundua kuwa kalipwa zaidi ya staili yake.
Sasa limetokea tatizo, bank wamegundua kosa walilolifanya, na wamehamua kukata kwenye acc yake kiasi ambacho walimwongezea wakati huo.
kwa kuwa aliongezewa kiasi kikubwa sana mshahara wake hauwezi ku compasate hilo deni so wamekata mshahara wote na bado inaonekana deni halijaisha, labda mshahara wa mwezi unaofuata.
Dada rafiki yangu hana hata sent moja kumwambia mumewe kilichotokea akiogopa manake hilo ongezeko hakumshirikisha na amelitumia kwa matumizi ambayo anayajua YY tu.
Sasa anatakiwa kulipa ada shuleni na matumizi mengine, kuomba kwa mumewe anaogopa coz anajua alichofanya.
Sasa ananiomba ushauri aanzeje kumweleza mumewe ili aweze kumsaidia maisha yaende.
Naomben ushauri nimpe huyu mdada.