Mshahara mdogo bila marupurupu ni kupoteza muda adimu

Mshahara mdogo bila marupurupu ni kupoteza muda adimu

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Hi great thinkers,

Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa.

Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.

Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni.
 
Hi great thinkers

Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa

Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.

Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni
Naunga mkono hoja

Ndio mana mimi nimeona kazini hapaeleweki nikaona kwa vile sina uwezo wa kuacha kazi kwa sasa bado sijajipata

Basi at least niongeze ujuzi/elimu kujiendeleza kielimu at least kuongeza thamani yangu kazini na kuongeza fursa kupitia elimu.
 

Attachments

  • images - 2024-12-09T154754.805.jpeg
    images - 2024-12-09T154754.805.jpeg
    12.6 KB · Views: 7
K
Hi great thinkers

Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa

Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.

Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni
kama MUDA unaita 'Mda" hata kazi ya mshahara huwezipata achilia mbali marupurupu
 
Hi great thinkers

Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa

Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.

Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni
Sasa mkuu, kuna ambao hawajawahi ajiriwa kabisa wana masaa mengi mbona hawatoboi mpaka tunazeeka nao. Tena ni kundi kubwa mamilioni ya watanzania.
Tujaribu kujua tatizo halisi la huu umasikini.Sidhani sababu kuu ni kamshahara tu kuna nyingine labda.
Siku hizi mie hata nikimuona sijui meneja wa bank au taasisi gani namuona kama hajatoboa japo wengi wanamuona hafanikiwa.
Watu nao waogopa ni wale wana run company na kuajiri wengine, sio muajiriwa anaesubiri posho.
Kuna mshikaji hapa investstment yake itaanza kutengeneza turn over ya milioni 500, tena yupo bush hapa yaani. Nadhani hawa ndio wawe role model sio hao wa posho.
 
Hi great thinkers

Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa

Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.

Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni
Umeongelea juu juu tu...Maana Majobless ambao Wana muda mwingi wao ndio choka mbaya.
Liweke vizuri andiko lako ili lilete maana
 
Haya ndiyo maisha ya mwalimu wa Tanzania.mfano mwenye shahada anaanza na laki saba kama sikosei.makato yakianza anabaki na laki nne.Chukulia Mfano unakaa kwenye majiji kama dar hiyo laki nne itakufanya upate mahitaji ya kununua dagaa tu .
Kwaiyo unamshauri Mwl aache iyo kazi ili ajiajiri sio...Au unashaurije
 
Hi great thinkers

Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa

Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.

Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni
Daaa huu ukweli mchungu aisee
 
Sasa mkuu, kuna ambao hawajawahi ajiriwa kabisa wana masaa mengi mbona hawatoboi mpaka tunazeeka nao. Tena ni kundi kubwa mamilioni ya watanzania.
Tujaribu kujua tatizo halisi la huu umasikini.Sidhani sababu kuu ni kamshahara tu kuna nyingine labda.
Siku hizi mie hata nikimuona sijui meneja wa bank au taasisi gani namuona kama hajatoboa japo wengi wanamuona hafanikiwa.
Watu nao waogopa ni wale wana run company na kuajiri wengine, sio muajiriwa anaesubiri posho.
Kuna mshikaji hapa investstment yake itaanza kutengeneza turn over ya milioni 500, tena yupo bush hapa yaani. Nadhani hawa ndio wawe role model sio hao wa posho.
hao jobless wavivu, wanaojituma wako mbali sana
 
Masikini hajitambui kuwa yeye ni masikini.Akili zetu lazima zichannel kuexplore mazingira ili kuona fursa zilizopo.Mimi tangu kufukuzwa kazi kwa hila nikatumia muda mwingi kusaka haki yangu,ufukara umenichangamsha akili.Hiyo laki saba iko fixed na maisha inabidi kujifix kwa mapato ya laki nne kama mchangia mada mmoja alivyofafanua.Watoto hawakui kuhitaji elimu na mengineyo?Safari yako mwalimu mwenzangu ya kupiga msuli shule ukomo wake ni laki saba mwalimu?Je,nikikuita kwamba wewe ni masikini mwenzangu ila umeficha utambulisho ntakuwa nimekosea?Moderators tafadhalini uacheni uzi huu ili tuumane vrzuri.
 
Hi great thinkers

Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa

Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.

Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni
Ni vizuri ungeweka na practical kidogo au uhalisia kuliko ku base kwenye nadharia.
 
Back
Top Bottom