Mshahara mdogo bila marupurupu ni kupoteza muda adimu

Mshahara mdogo bila marupurupu ni kupoteza muda adimu

Masikini hajitambui kuwa yeye ni masikini.Akili zetu lazima zichannel kuexplore mazingira ili kuona fursa zilizopo.Mimi tangu kufukuzwa kazi kwa hila nikatumia muda mwingi kusaka haki yangu,ufukara umenichangamsha akili.Hiyo laki saba iko fixed na maisha inabidi kujifix kwa mapato ya laki nne kama mchangia mada mmoja alivyofafanua.Watoto hawakui kuhitaji elimu na mengineyo?Safari yako mwalimu mwenzangu ya kupiga msuli shule ukomo wake ni laki saba mwalimu?Je,nikikuita kwamba wewe ni masikini mwenzangu ila umeficha utambulisho ntakuwa nimekosea?Moderators tafadhalini uacheni uzi huu ili tuumane vrzuri.
Hii ni kweli sio uongo inakera sana 😬😬😬
 
Hi great thinkers

Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa

Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.

Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni

Hii neno la marupurupu ndio limetujazia Wazembe, Majizi na Waomba rushwa kwenye sehemu mbali mbali za kutolea huduma...
Ukikutana na baadhi ya Vijana wanalia mitaani kutafuta ajira, ila wakipata, ni wazembe, kuwazia tu kuiba, vishoka nk nk (get rich soon). Sio vibaya kwa vijana/wafanyakazi kutajirika au kuwa na hela za ziada..
Ushauri wangu: Ifanye ajira yako kama security ya kukusaidia kukopa kwenye taasisi za fedha na kupata mtaji wa kufanyia vitu vingine. Acha kabisa upigaji na kunyanyasa watu kwa kutaka rushwa ili uwahudumie wakati umeajiriwa/unalipwa ili uwahudumie!!!
SIKU ZA MWISHO ZITAKUWA NGUMU SANA!!!
 
Ni vizuri ungeweka na practical kidogo au uhalisia kuliko ku base kwenye nadharia.
Practical ni kwamba jitafakari sana unapo dedicate masaa yote ya kutwa Kwa Maisha yako yote Kufanya KAZI za watu wengune Kwa kipato kidogo kinachokuwezesha Kula tu..

Mshahara wako unatakiwa ukuwezeshe kuishi Zaidí ya miezi 12 baada ya kupoteza kazi bila kuweweseka..waajiriwa wengi miezi 2 bila kazi wanachanganyikiwa ila jobless mtaani anadunda tu bila shida.

Tu jitafakari sana. Most of Africans are cheap labour and are. underpaid
 
Kuna kazi unafanya Ili usife tu, then walivyo jeuri wanakumalizia uzeeni Kwa kukuonjesha asali ya pensheni taratibu taratibu. Kwanini usife kabla ya muda Kwa kazi za aina hiyo?
 
Back
Top Bottom