fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Hii ni kweli sio uongo inakera sana 😬😬😬Masikini hajitambui kuwa yeye ni masikini.Akili zetu lazima zichannel kuexplore mazingira ili kuona fursa zilizopo.Mimi tangu kufukuzwa kazi kwa hila nikatumia muda mwingi kusaka haki yangu,ufukara umenichangamsha akili.Hiyo laki saba iko fixed na maisha inabidi kujifix kwa mapato ya laki nne kama mchangia mada mmoja alivyofafanua.Watoto hawakui kuhitaji elimu na mengineyo?Safari yako mwalimu mwenzangu ya kupiga msuli shule ukomo wake ni laki saba mwalimu?Je,nikikuita kwamba wewe ni masikini mwenzangu ila umeficha utambulisho ntakuwa nimekosea?Moderators tafadhalini uacheni uzi huu ili tuumane vrzuri.
Hi great thinkers
Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach a asset yoyote hapa duniani mpaka unazikwa
Piga picha masaa kumi hadi kumii na mbili unafanya kazi za watu afu unategemea mwisho wa mwezi kamshara kadogoo kwa ajili ya kulipa bills, what if ungetanga masaa 14 ukafanya kazi zako binafsi naamini after miaka kadhaa utakuwa mbali sana tofauti na kufanyia kazi watu wengine.
Huu ushauri unaweza kuuchukua au ukauacha kumbuka fainali uzeeni
Practical ni kwamba jitafakari sana unapo dedicate masaa yote ya kutwa Kwa Maisha yako yote Kufanya KAZI za watu wengune Kwa kipato kidogo kinachokuwezesha Kula tu..Ni vizuri ungeweka na practical kidogo au uhalisia kuliko ku base kwenye nadharia.
Mara zote masikini ni watu waoga waoga hawafanyi mambo ya Hatari hata siku mojaUshauri.
Kama huna roho ngumu na ujangili mixer ubabe wa mtaa hutoboi,tafadhali usiache kazi utajutaaaaa