mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
Anaejua umuhim wa kujiajiri leo, amechelewa,
Pamoja na bei ya bidhaa, jana na leo kuonyesha things are serious, na kuwa juu kuanzia maji na kila kitu, achilia mbali simu ya mkononi, mshahara bado ongezeko ni dogo kupindukia, kwa wafanyakazi waataangalia posho zao zaidi, kima hiki kinakatisha tamaa, si kuishi tu lakini pia hata hapo kijijini ulipo, hali ni mbaya sana.
SH 35,000 MPAKA 50,000 AMA 60,000 AU 70,000 NI NDOGO SANA.
80,000 KUENDELEA INGEPUNGUZA UKALI WA MAISHA
Pamoja na bei ya bidhaa, jana na leo kuonyesha things are serious, na kuwa juu kuanzia maji na kila kitu, achilia mbali simu ya mkononi, mshahara bado ongezeko ni dogo kupindukia, kwa wafanyakazi waataangalia posho zao zaidi, kima hiki kinakatisha tamaa, si kuishi tu lakini pia hata hapo kijijini ulipo, hali ni mbaya sana.
SH 35,000 MPAKA 50,000 AMA 60,000 AU 70,000 NI NDOGO SANA.
80,000 KUENDELEA INGEPUNGUZA UKALI WA MAISHA