Mshahara mzuri unaanzia kiasi gani?

Mshahara mzuri unaanzia kiasi gani?

Kibongobongo mshahara mzuri take home ni 1m mpaka 4m

Mshahara mzuri sana ni kuanzia 5m mpaka 10m

Mshahara wa kiboss/kikurugenzi ni kuanzia 10m mpaka 35m

Mshahara wa watu wazito ni kwa USD $ hasa wanaofanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa mishahara yao huanzia $15,000 hadi $50,000+
Kuna wengine wanapata $100,000+
Hapa naanza kupata mwanga
 
Km unaweza kusave 30% baada ya matumizi yote

Hili ndio jibu. Mshahara mzuri ni
Ule ambao unakidhi mahitaj yote muhimu na bado ukweza kusave 30% au zaidi...

Kwa watu wa mambo Ya uwekezaji tunaita kuwa nauwezo wa kuishi your own "rich life"

Yaan kama mie nitapokea mshahara ambao nyymban watakula vizuri, watatibiwa vizuri, watoto watasoma
Bila shida, na pia ninaweza kuandaa walau Trip moja au mbili kwa mwaka za kwenda vekesheni na familia mahali.. na bado nikaweza kusave au kuinvest kati ya au zaid ya 30% then hii ndio rich life yangu
 
Ni kiwango kipi mtu anaweza sema amepata kazi ya mshahara mzuri kwa hali ya maisha iliyopo hapa nchini na kwenye soko la ajira bongo?

Wadau wa maokoto ya mwisho wa mwezi tupeni abc
Mshahara mzuri au maisha mazuri inategemea na familia Uliyotoka, wengine katika ukoo wao wote hakuna aliyesoma kwa hyo mtu akiwa na certificate ni mafanikio ila wengine ni mpaka PHD kwasababu ya family background kwa hyo mshahara mkubwa au mdogo inategemea na family background ya mtu wengine kwao wamekuwa wamekuta gari ila wewe ambaye kwenu hakuna gari na hamjawahi kumiliki gari ukinunua IST, ni mafanikio.

NB:mengine ni mifano hapo mada tofauti
 
Back
Top Bottom