Mshahara na hela ya kujikimu

swaumunaswiru

Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
51
Reaction score
8
Jamani, sie walimu wapya tunapewa lini hela ya kujikimu na mshahara wa mwezi wa tano? Maana tumeshariport kazini, hali ya kiuchumi sio nzuri, tunaomba kufikiriwa.
 
Wapi nyie tokeni kuzimu......
Mnangoja no???? Waalibieni

Muleba time washinikiza wametoa kitu

Mshahara ka rbu unatoka
 
wewe ndio ukumuelewa alikuwa anasema wao n walimu wapya ukiacha mshahara,hata fedha za kujikimu hawajapata.
 
Pgeni kazi,shukuru mungu serikali isha-Rest In Peace....tuiombee jmn
Tupo kazini 3yrs now,miez mi3 ya mwanzo up today bdo kupewa,faili langu limejaa barua za kuomba mshahara na madeni yangu mengine hadi peni zimeisha wino na miguu ina magaga kufuatilia....I'm tired..!!
PGA kazi mungu atakulipa hakuna atakaekuckiza ktk nchi hii...watu wanadai tumbo zao tu..I think u hv understood !!
 
wafanyakazi wa tanzania tujitahidi sana kuitoa ccm madarakani mwaka huu ili tuwe na serikali mpya nayo tuione kwanza maana kama kudanganywa na serikali ya ccm tume danganywa sana sasa tujikomboe ss wenyewe kama madereva w ameweza kwanini wafanyakazi tushindwe? tukutane October tuitoe ccm madarakani
 
.....................Hope kufikia leo umeshapata jibu lako juu ya kupata au kuto kupata.


wapi chichimizi mwalimu aliyekuwa akililia ajira kwa nguvu zote.
 
Last edited by a moderator:
mshahara na hela ya kujikimu hitimisho lake october 25 tukutane pale kati tuvunje ukimya na hawa jamaa bana maana walishadai wao ni gari bovu haliendi bila kusukumwa sasa hatuwasukumi tena tunalizima kabisa na kutoa injini..
 

uitoe serikali ya ccm madarakani wakati safari ya matumaini ndo ishaanza??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…