Asie taka mgao ahamie Burundi.Inakuwaje Hadi Leo Kuna watu hawajapata mshahara wao? Inakuwaje mshahara unatoka Kwa mafungu? Angalu basi ingetofautiana dakika na masaa tu lakini sio sawa wengine Toka tar 22 wamepata mshahara na wengine Hadi Leo Kimya.
Mwigulu hebu jitafakari
Muongooserikalini raha sana tar 22 unalipwa mshahara? Private sector ni mpaka siku ya mwisho ya mwezi na wakati mwingine mpaka tarehe 35 au 40
kwenu mkuu, kwetu ni mpaka siku ya mwisho ya mwezi. Na ikiangukia jmosi au jpili ujue ni wiki inayofuataMuongoo
Mbona kwetu ilikuwa tar 23
Si ndo rahaakwenu mkuu, kwetu ni mpaka siku ya mwisho ya mwezi. Na ikiangukia jmosi au jpili ujue ni wiki inayofuata
lakini kulipwa tar 22....ujue ni hatari. yaani ikifika tarehe 5 mwezi unaofuata tayari unaanza kukopaSi ndo rahaa
Maana wengine hapa hela inakaribia kuisha 🤣
Kawaida yetu watumishi 😂lakini kulipwa tar 22....ujue ni hatari. yaani ikifika tarehe 5 mwezi unaofuata tayari unaanza kukopa
Inasemekana waliopewa mishahara hawajagawiwa vishikwambi na waliopewa vishikwambi ndiyo hawajalipwa mishaharaInakuwaje Hadi Leo Kuna watu hawajapata mshahara wao? Inakuwaje mshahara unatoka Kwa mafungu? Angalu basi ingetofautiana dakika na masaa tu lakini sio sawa wengine Toka tar 22 wamepata mshahara na wengine Hadi Leo Kimya.
Mwigulu hebu jitafakari
Tamisemi hao ndiyo nasikia wamelipwa 23rdMie sms ndo inaingia muda huu. Kumbe mambo tayari tangu 22?
Aje ghettoMp
Mpe mtaji.!!!
unamkumbuka kayafa wakat yeye kichwan mwake alitamani hata mishahara isiwepo kabisaaDah mpaka nimemkumbuka Simba wa Yuda
Ushavuta tayari JoeNi kawaida sana
System itakuwa iko slow kwa sababu ya kutimia Umeme wa majenereta
Sio system mkuu kuna kitu kitakuwa hakiko sawa.Ni kawaida sana
System itakuwa iko slow kwa sababu ya kutimia Umeme wa majenereta
Mkuu tar 35 au 40 ahahahserikalini raha sana tar 22 unalipwa mshahara? Private sector ni mpaka siku ya mwisho ya mwezi na wakati mwingine mpaka tarehe 35 au 40