Mshahara umebaki kiasi gani?

Joined
Mar 11, 2015
Posts
30
Reaction score
17
Nauliza huko mpaka sasa hivi mshahara umebaki kiasi gani. Maana mlio wengi mmepokea mshahara weekend.
 
TUNAKUMBUSHANA TU

Kwa wale wafanyakazi, mshahara unaofuata kutoka sasa ndio huo huo tutautumia Christmas, Mwaka mpya na ndio huo huo tutautumia kununua nguo za shule za watoto madaftari kulipa kodi ya nyumba ada n.k
..tunakumbushana tu maana.. (hasa kwa wale wenye familia na watu extended wanaokutegemea).

January is a branch of science which deals with three months in one.!🤣🤣🤣

*usije sema hukuambiwa*

Heri ya Sikukuu na Fanaka ya Mwaka Mpya 2020.

Matata the K.
 
Kasie, Mkuu kwani mwezi huu hakuna mshahara adi mwezi wa pili au?

Naona mwaka mpya na ada za watoto ni ule mshahara wa mwishoni mwezi huu aliitatoka mapema[emoji23]
 
Kasie ,huwa inaitwa Njanuary

Yeah with lot of other aka's....

Japo sina familia wala tegemezi , kuna mwaka sikumbuki lini ila nilitoka kwenye hiyo homa ya Dec Jan and Feb...

Niliona iko kisaikolojia zaidi na ukijipanga unakaa pembeni kabisa bila kupatwa na huo mvuke wa Njanuary.

Nilijiambia, mwaka una miezi 12, ukitoa hii miezi 3 tata (Dec Jan and Feb) kuna miezi 9 ambayo kutokana na kipato changu nikitenga kila mwezi asilimia 30 ya kipato cha miezi 9 na nahakikisha hata niuguliwe siigusi ili ikifika huo msimu, mapato ya miezi hiyo 3 jumlisha na akiba ya miezi 9.... Nasafiri kama JK, nafanya manunuzi kama Mange, nagawa zawadi na kusaidia wahitaji kama Bakhresa kumbeeee ni kigagula Matata.

Sikuzote pesa haitoshi, yahitaji kuwa na disiplini na matumizi na akiba huwekwa kwanza ndipo matumizi hufuata kwa umuhimu wake.

Karibu kifungua kinywa sukari, nimesubiria mgahawa wa sheli ufunguliwe waapi....

Matata the K.
 
Mkuu kwani mwezi huu hakuna mshahara adi mwezi wa pili au?

Naona mwaka mpya na ada za watoto ni ule mshahara wa mwishoni mwezi huu aliitatoka mapema[emoji23]


Si lazima usubirie mshahara unaweza lipa ada na kula bata kwa kutumia hela za vikoba..
 
...mapaka... Ivi mesoma vizuri ama kuna herufi imerukwa/kuongezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…