Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kwanini unakopa kopo kila wakati?Tuungane pamoja tuanzishe chama chetu wale mshahara unaoishia hewani ata masaa 24 hayafiki
We nawe unamsikiliza huyo pesa si ilitoka alhamis usiku mpka leo wiki 1 inakaaje sasaNyie wa gavu mnaraha, kumbe mzigo umeshatema? Sisi tunaofanya kwa wahindi hadi tare 10
Tumia hela ikuzoe
Mshahara unakaa kama Whatsapp status.Tuungane pamoja tuanzishe chama chetu wale mshahara unaoishia hewani ata masaa 24 hayafiki
Ilinitesa sana hiyo kipindi naanza kazi, solution ya hii ni kujitahidi kuwa na kamradi pembeni lakini ukitegemea mshahara utakuwa unaisha kabla hata haujaupataNamna gani asee, hela haikai, mshahara haukai hata masaa 72. Huu mwezi ni kama sijalipwa chochote kile. Mnatoboa wadau?
Tarehe 40 private sectors hasa kwa wahindi na waarabu utumwa sana aiseeNyie wa gavu mnaraha, kumbe mzigo umeshatema? Sisi tunaofanya kwa wahindi hadi tare 10
Tumia hela mkuu ikuzoeJichanganye 🙃