The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Mshahara ni maalumu kwa ajili ya mtu mmoja pekee,sema tu watu ndo uufosi kwa ajili ya familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namna gani asee, hela haikai, mshahara haukai hata masaa 72. Huu mwezi ni kama sijalipwa chochote kile. Mnatoboa wadau?
huyo jamaa majibu yake ni mawili tu either tafuta kazi ya kufanya au kijana acha kujichua😃Fundi manyumba hawa vijana pia watafute kazi za kufanya
Pia kwa wale ambao mishahara yao inakwisha hata kabla hawajaipokea. Hapa namaanisha wale wenye mikopo ya kausha damu ambao Kadi zao za Benki zimechukuliwa na hao wanaowadai. Pindi wapatapo taarifa za kuingiziwa mshahara wanakwenda kuzikomba zote bila huruma.Tuungane pamoja tuanzishe chama chetu wale mshahara unaoishia hewani ata masaa 24 hayafiki
Unauzia wafanyakazi wenzako au wanafunzi au wagonjwa hospitalini. Hata mahakama kama we ni hakimu unauzia waliokuja kwenye kesi.Ungebakiza hata 10000 ujumlie maembe mateke katakata weka chumvi yenye pilipili tayari mtaji tosha
Wewe ni mwalimu?Namna gani asee, hela haikai, mshahara haukai hata masaa 72. Huu mwezi ni kama sijalipwa chochote kile. Mnatoboa wadau?
uko sahihi mkuu, yani ikipungua 50 tu, ushavuruga kila kitu.Kwa huu mshahara wa watumishi wengi wa kima cha chini na wale wa kima cha kati; maana yake:-
1. Hutakiwi kumsomesha mtoto/watoto wako shule binafsi.
2. Hutakiwi kukopa benki na kufanyia kitu chochote mfano kununua gari, kujenga nyumba, nk.
3. Hutakiwi kumsaidia mtu yeyote yule fedha itokanayo na hio mshahara! Yaani wakiwemo wazazi na ndugu zako.
4. Hutakiwi kufanya maendeleo yoyote yale! Yaani hela yako inatakiwa iwe ni kwa ajili ya kula, kuvaa kwa mbali, nk.
Ila cha kushangaza kwa wale wafanyakazi wachache wa kima cha juu; wao kila siku ni sherehe tu. Maana wana hela mpaka wengine wanaamua kuanzisha miradi/biashara za kuzitakatisha hizo fedha.
Secretary kama chura kiziwiWewe ni mwalimu?
🤣🤣🤣🤣🤣Unauzia wafanyakazi wenzako au wanafunzi au wagonjwa hospitalini. Hata mahakama kama we ni hakimu unauzia waliokuja kwenye kesi.
Wazo zuri sana.