Jeidabiliyuutiizedikuna secta naskia zimelamba jana mkuu
yap yap yap wamelamba jana jamaa,.Jeidabiliyuutiizedi
Huwa wanawatangulizia hao, halafu wengine hadi wakijisikia kuweka. Wengine labda watawekewa leo kwenye a/c zao. Au watachelewesha hadi wiki ijayo ili pasaka ikaribie watumishi wakiwa na helayap yap yap wamelamba jana jamaa,.
hivi mshahara hutoka kwa wote kwa pamoja ?
Uhakika angalia salio lako ndio utapata uhakika.Uhakika mkuu?maana nimebaki na hela ya nauli tu hapa
[emoji117]When a Guy Does something wrongEti ng'ombe wa masikini hazai,...nimecheka sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Go to hell....[emoji125] [emoji125][emoji117]When a Guy Does something wrong
Girl : you broke my favorite phone!
Guy: it was an accident.. I didn't mean to!
Girl: I can't believe you did this!?
Guy: I am very sorry. [emoji22]
[emoji117]When a Girl does something wrong
Guy: You lost my Silver chain?
Girl: it was an accident.. I didn't mean to.
Guy :i can't believe you did this?
Girl: I have already feel bad about it..... Stop making me feel worse
Guy: I am Sorry [emoji28][emoji28].
The world is not fair [emoji23][emoji23][emoji23] Damu yangu.
Hakuna nilipolalamikia mshahara.nimekalamikia hako kamladi kangu mbali na mshahara.Hutanielewa mpaka pale babaako atakapoacha kupanga bajeti ya chakula kwaajili yako.ng'ombe yupi hazai.. ishi kwa malengo usilalamike ovyyo ovyo
watumishi wa umma mnasikitishaga kweli
watu wanakosa salary miezi 6 na wako still focused, wewe siku tu umeanza kulalama
Huhuhu mimi huyo? Unajua kunishushua mpaka nakihelehele kimeisha .Go to hell....[emoji125] [emoji125]