BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
haha baaba yang kaingiaje hapa huwezi kutoa hoja bila kumkashfu mtu na wazazi wake? tokea unazaliwa baba yako hajawahi kukupangia bajet ya chakula? anyway umejionyesha jinsi ulivyo. asante sana BOSS TAJIRI.Hakuna nilipolalamikia mshahara.nimekalamikia hako kamladi kangu mbali na mshahara.Hutanielewa mpaka pale babaako atakapoacha kupanga bajeti ya chakula kwaajili yako.
Tajiri niwewe unaetukashifu watumishi.babaako sijamkashfu ila nimemsifia kwa malezi bora.soma vizurihaha baaba yang kaingiaje hapa huwezi kutoa hoja bila kumkashfu mtu na wazazi wake? tokea unazaliwa baba yako hajawahi kukupangia bajet ya chakula? anyway umejionyesha jinsi ulivyo. asante sana BOSS TAJIRI.
Pamoja mkuuAsante mkuu
Ka gari kako aina gani mkuu ? Na umekaweka kapige mzigo sehemu gan ? Ebu njoo pm tubadilishane uzoefu maana ndio mradi nataka kuanzisha huoHabari zenu jamani.naomba watumishi mnijuze kama tayari shimo limetema.
Nilijichanga changa nikanunua kagari ka biashara sasa kamepata hitilafu kamekomba hela zangu zote.nategemea tu mshahara nikafufua kagali kangu kaendelee kupiga mzigo namimi nilipe madeni ya watu.
Ama kweli ng'ombe wa maskini hazai
Ndio, umetoka benki kwenda kusikojulikannaHabari zenu jamani.naomba watumishi mnijuze kama tayari shimo limetema.
Nilijichanga changa nikanunua kagari ka biashara sasa kamepata hitilafu kamekomba hela zangu zote.nategemea tu mshahara nikafufua kagali kangu kaendelee kupiga mzigo namimi nilipe madeni ya watu.
Ama kweli ng'ombe wa maskini hazai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MKUU wewe ndo umeufufuaaa huu uzi?
hhahahaha, niliona nimuite Kididimo kumjulisha kuwa mshahara umeshatoka hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MKUU wewe ndo umeufufuaaa huu uzi?
Ahahhaaha basi mkuu ukitoka tu kila tarehe nishtue kama huyo mkuu mana sometime kila mtu huwa bize kwenda atmhhahahaha, niliona nimuite Kididimo kumjulisha kuwa mshahara umeshatoka hahahahaha
πππ SawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAhahhaaha basi mkuu ukitoka tu kila tarehe nishtue kama huyo mkuu mana sometime kila mtu huwa bize kwenda atm