Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna Cha kufanya mkuu!labda tuzidishe maombi tuu😞,Watanganyika tumezoea kuchezewa mkuu!Aiseee. Hili tusilikubali hata kidogo. Tuonyeshe hasira zetu ili wasituchezeee.
Uoneshe hasira ukiwa sebuleni unachart. Ingia Barabarani kama wewe unahasiri kweli KweliAiseee. Hili tusilikubali hata kidogo. Tuonyeshe hasira zetu ili wasituchezeee.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Na Mama katupa mapumziko Sensa. Mwenyezi Mungu ambariki Rais wetuHatuna Cha kufanya mkuu!labda tuzidishe maombi tuu😞,Watanganyika tumezoea kuchezewa mkuu!
SENSA KWA MAENDELEO YA TAIFA,JIANDAE KUHESABIWA,23/08/2022
Yaani kwa upuuzi na ujambazi huu unaniamiaje nihesabiwe? Huku tunanyonywa kila sehemu
Yanga tenye holo wane!Dadaah.. Mwigulu mwiguluuu
Yaani holo wane... U mundu unu umwigulu. Ane sagamwelewa kabisa..Yanga tenye holo wane!
Acha upotoshaji wewe,type huo mchanganuo wa makato ya sh.9000
Huenda wewe ndo ukawa Mwigulu kila kitu kutetea tuAcha upotoshaji wewe,type huo mchanganuo wa makato ya sh.9000
Mimi sio Mwigulu na mimi sio mjinga kama nyie ambao kila uongo mna hemka kwa chuki binafsi..Huenda wewe ndo ukawa Mwigulu kila kitu kutetea tu
Ila mkuu una kibarua kizito sana kutetea huu utawalaMimi sio Mwigulu na mimi sio mjinga kama nyie ambao kila uongo mna hemka kwa chuki binafsi..
Nimesema onyesha wapi ulipokatwa 9,000 kwa kila muamala
Wala sina Kibarua kizito,Kazi yangu kuwanyoosha nyie chadomoIla mkuu una kibarua kizito sana kutetea huu utawala
Kwakweli hii ni TOZONIAKaribu Tozonia
😂😂😂😂😂😂 hapo ndio ukitaka kujua unafiki wa mtanzania, anahamasisha hasira wakati kakaa sebleni kwake anatypeUoneshe hasira ukiwa sebuleni unachart. Ingia Barabarani kama wewe unahasiri kweli Kweli