Mshahara wa advanc bank kwa nafasi ya loan officer huwa ni bei gani?

Mshahara wa advanc bank kwa nafasi ya loan officer huwa ni bei gani?


''By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong''


Si mbaya lakini mkuu, at last you came to your senses and understand the situation. Ile hoja haifanani na hii, this is much worse. Nina mashaka na uwezo wa wanaowafundisha, illusions!

hahahahaaaa.....
 

''By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong''


Si mbaya lakini mkuu, at last you came to your senses and understand the situation. Ile hoja haifanani na hii, this is much worse. Nina mashaka na uwezo wa wanaowafundisha, illusions!
Hahahaaa..sikuumaanisha hivyo mkuu,naanza kukubaliana na ww kwenye suala la kuchagua package wakati hata hiyo alternative huna...
Ngoja nimpe mfano huyu kijana...wakati namaliza university,kuna jamaa yetu alitoka na 1st class,tukapata wote kazi kwenye moja ya auditing firm kubwa duniani(among big four)...jamaa alitegemea kwamba atalipwa mshahara tofaouti na watu waliopata second class na madaraja mengineyo...jamaa kazi ilimshinda,nasikia alirudi kufundisha pale UDBS...
Sidhani kama huyu bwana mdogo anazo alternative nyingi kihivyo.....!!!
MMMhhhh...hizi degree hizi!!
 
ni kweli buku nane kwa siku halaf wateja unatafuta jua kali balaa matenti yao kama watu wa simu hawajali kama mtu una degree yako unalost pale u wont see urself growin in career wise unazungukuka madukani uswahilini yan unakuwa kama wauza mabesen na degree yako
We dogo. Umeambiwa ukiwa na digrii maana yake usifanye kazi? Careerwise growing inaanzia chini. Siku hizi digrii ni kufuta ujinga. Sio kuwa na elimu. Yaani unaona kuwa na digrii ni ukuuuuuuubwa. kama unadhani hivyo angalia wasio na digrii na hawana kazi hapa mjini ndio utaona upofu wa maneno uliyosema.
 
Hahahaaa..sikuumaanisha hivyo mkuu,naanza kukubaliana na ww kwenye suala la kuchagua package wakati hata hiyo alternative huna...
Ngoja nimpe mfano huyu kijana...wakati namaliza university,kuna jamaa yetu alitoka na 1st class,tukapata wote kazi kwenye moja ya auditing firm kubwa duniani(among big four)...jamaa alitegemea kwamba atalipwa mshahara tofaouti na watu waliopata second class na madaraja mengineyo...jamaa kazi ilimshinda,nasikia alirudi kufundisha pale UDBS...
Sidhani kama huyu bwana mdogo anazo alternative nyingi kihivyo.....!!!
MMMhhhh...hizi degree hizi!!

Now you are TALKING!

Ukisema UNIVERSITY DEGREE you simply means ALTERNATIVES. Sasa madogo wanakuwa possessed na vyeti to such ana extent wanataka wawe APPRECIATED kwa vyeti kabla hawajaprove their worth.

Ukiona umeshindwa kubadili tabia yako fulani ktk maisha, jiulize swali hili moja litaku- motivate kubadilika; "Dunia ingekuwa vipi ikiwa kila mtu angekuwa kama mimi?"

Sasa dogo amefikia kuwakashifu mauza mabeseni lkn inavyoonesha yeye hawezi kufikiri nje ya box, sasa hiyo degree inakuwa na maana gani? Kwanza nionavyo mimi nadhani yeye anadhani kuna BBA tu hapa duniani, hajui kuna watu degree zao ni za kushika usaha na damu.

Mtu wa mawazo yale potofu, kwa kukosa muelekeo (wa ndani) na imani kubwa aliyonayo kwa vyeti, atarudi chuoni, atasoma weeeeee baadaye anakuwa Profesa. Sasa unategemea profesa wa namna hiyo anamfundisha nini mwanafunzi wake?
 
No doubt utakuwa wa kike.

Bi mdogo, degree haimaanishi tiketi ya wewe kukaa ofisini. Degree ni kiwango cha elimu na sio kiwango cha UBOSI. He who works had is the boss. Upo uwezekano share holders wa Advans Bank ni mama lishe na makondakta wa daladala. What make them on top of you is their enthusiasm and entrepreneur mindset.

Huko walipo (share holders) wapo juani wakiuza mabeseni unayokandia ili waendelee kuwekeza zaidi katika uwekezaji ambao unakupa wewe ajira. Katika hali yeyote, usijidanganye kuwa wewe ni bosi kwao, WEWE NI MTUMISHI WAO.

Angalia hiyo kauli yako "hawajali kama mtu una degree yako". Hii ni kauli ya mtu masikini sana, tena fukara wa mawazo. Advans Bank hawakufungua firm yao ili wakuajiri. Yawezekana kutoa ajira ni moja ya sababu za kuanzishwa kwa institution lkn sidhani kama that was their primary objective. In business world the first thing on the line is MAKING PROFIT.

Sasa kwa kudhania kwamba ukiwa na degree maana yake huchomwi na jua huo (ashakhum si matusi) ni upumbavu. Kuna watu wana Masters (Geology, Civil Engineering, Marine Biology n.k) na wapo juani ili kutimiza majukumu yao. Au unadhani wewe ndio umesoma sana kuliko watu wote?

Ukitaka kuandika paper yako juu ya tabia zinazoathiri SMEs Tanzania basi that is the right place. Hamia field. Hakuna namna Marine Biologist anaweza kufanya kazi bila kuwepo chini ya bahari hata awe na elimu gani. Na kama ulikuwa unataka kupatiwa kiyoyozi pale nje, basi fahamu kuwa kiyoyozi hakiji bila wewe na wenzako wenye degree (mliosoma sana) mtakapoamua kuweka juhudi zenu kuiinua Advans Bank ifikie level ya huko unakotaka kulinganishia. Unayoyaona CRDB, Standard Chartered na kwingineko hayakushuka na wala hayakuletwa na watu wenye mawazo kama yako, bali watu waliotambua thamani ya elimu zao inaonekana zinapozalisha kitu na sio kusujudia makaratasi.

Ukiendelea kuwaza unavyowaza, amini nakuambia utaishia kuhonga mwili wako kwa mameneja ktk harakati za kutafuta na hayo makaratasi yako yataishia kukupatia ugonjwa. Taifa hili halitajengwa kwa makaratasi bali kwa kufanya kazi kwa nguvu.

Reading from your JF ID (Wemah) ambayo bila shaka inasimama kwa Wema naweza kuona kuna shida kidogo ktk tafsiri ya maisha kichwani mwako. Ukiona Mushi (mchaga) anajiita Mushy, Msaki anajiita Msacky basi ujue kuna upungufu sehemu. Unaonekana ni mtu unayependa kuji - boost to ana extent jina lako mwenyewe WEMA, umeliongeza H just to sound English; Inferiority Complexion. Kama haitoshi, unakandia wauza mabeseni (for the way you speak) ilhali Business Chain inawahitaji wao zaidi yako (kama umesoma kweli utakubaliana na mimi katika hili)

NB: Karibu kwa ushauri ikiwa utautaka na nakaribisha matusi pia ikiwa kuna atakayejisikia kuwa annoyed na maneno yangu. Ila kwa tahadhari, kejeli na matusi ndio hasa fani yangu.
Yaani mi nilipoona mada yenyewe nilijua lazima Mwana mtoka pabaya atakuwa ndani na kutoa elimu/ kuwashusha konfo graduates.

""hiv mshaara wa masters bei gani?"" hii ndo ilinifanya nikawa nafurahia posti zako mkuu.

mkuu kama hutajali hiv ww profesheno yako ni nini?
 
Yaani mi nilipoona mada yenyewe nilijua lazima Mwana mtoka pabaya atakuwa ndani na kutoa elimu/ kuwashusha konfo graduates.

""hiv mshaara wa masters bei gani?"" hii ndo ilinifanya nikawa nafurahia posti zako mkuu.

mkuu kama hutajali hiv ww profesheno yako ni nini?

Huu ni mwaka wa 6 mkuu najitahidi kung'amua 'what is my profession in vain'. Ipo siku nitajua, nitakujibu mkuu.

As for occupation, BUSINESS.
 
Aaaah, michango hii!! fresh graduates someni hayo, yatawasaidia. Usiponde kampuni ya mtu/watu, wamepata tabu sana kuanzisha! so wasifikiri kumwajiri mtu ni simple tu! NA kumaliza Degree, tena bachelor, sio tiketi ya kupata kazi inayokidhi ndoto yako, hata ukianzisha mradi profit huanza kidogo kidogo, kadri inavyo kua ndivyo inavyo ongezeka na ww ndo unaneemeka! PLS nawashauri fresh graduates, wakipata kazi inaendana na career goals zao wafanye, faida yake ni kupata experience ambayo baada ya mwaka au miaka 2,3 utaweza omba kazi kama hiyo kwingine na lazima utapata mshahara mkubwa zaidi ya huo wa leo. Ni bahati sana kuanza tu na kupata salary nono, ila on exceptional cases!
 
Back
Top Bottom