Mshahara wa Agosti ungeingia leo ili kesho tutulie tuwasubiri Makarani

Mshahara wa Agosti ungeingia leo ili kesho tutulie tuwasubiri Makarani

Wangetoa Leo mngelewa Sana mngewaletea fujo na dharau maafisa wa sensa...au labda ujaribu kubadili kazi au ofisi..
Nenda zile ambazo kila mwezi huko night zaidi ya 20.hapo itakuwa Safi mshahara kweli sio wa kuutegemea
Ila makamanda tumepokea leo
 
Back
Top Bottom