ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Ingawa huyo jamaa ameogea kitu ambacho si kweli ila kibu hata milion 1 haimfai.Je ni HAKI hii ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa huyo jamaa ameogea kitu ambacho si kweli ila kibu hata milion 1 haimfai.Je ni HAKI hii ??
Uchungu ulionyeshwa na sisi wanasimba ni kwa wachezaji wote wazawa wenye viwango bora hivyo huwezi tegemea nionyeshe uchungu kwa Kibu D au Kapama ila kwa Zimbwe,Kapombe na Manula lazima niguswe nikiona hawapati mshahara mzuri maana wote tunajua kazi yao na bahati nzuri wote hao niliowataja hapo wanachukua mishahara mizuri tu karibia mara mbili ya anaochukua Feisal akiwa Yanga hapoI wish angetokea mfukunyuzi, ili tuifahamu pia mishahara ya wachezaji wa simba.
Maana uchungu walio uonesha mashabiki wa simba kuhusu wachezaji wa ndani wa Yanga juu ya mishahara yao midogo dhidi ya wageni, hakika unafikirisha sana.
Tuambiwe kwanza Feisal analipwa bei gani pale YangaHabari wakuu,
Kama kuna mwenye usagihi wa mishahara ya Kibu na Muzzamiru aniwekee hapa jamvini...
Makolo watakuwa wanapigwa na chaunabe.kama ilivyopigwa serikali kumpa uraia hii taka ngumuKibu analipwa kwa wiki, mshahara wake ni milioni sita kwa wiki
Yaani uraia tumempa kibu sisi tz tunajielewa kweli??Kibu halipwi ela si amepewa uraia bure??au nimekosea
Tanzania sisi wa ovyo sana,kila siku aibu kama leo ndondi imetutia aibu sanaYaani uraia tumempa kibu sisi tz tunajielewa kweli??
yaani tunaacha kuwalazimisha chama na mayelle wawe raia hapa tunaongeza mikosi kwa nchi..isee!
yani wewe hamnazo!unaamini kila ujinga unaoandikwaJe ni HAKI hii ??
kwani kibu nae analipwa mshaharaaa....mwe mwe mweHabari wakuu,
Kama kuna mwenye usagihi wa mishahara ya Kibu na Muzzamiru aniwekee hapa jamvini...