DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mtu akiona muhitaji wa kitu flani kile kitu hakupi. Anajua akikunyima wewe itakuathiri kimawazo, kifedha, kinamna namna so anakumyima ili iwe beyond your expectation ujutie maisha yako yote kumjua. So, kwenye hatua ya kwanza ya maisha ya sasa ni kukubali kwamba si kila mtu ana roho safi. Mm nishakutana mpaka na mtanzania namba 3 mpaka leo niko kariakoo
Mzee mm nishakutana na Honorable, mzanzibar halisi kabisa. Nikajimaliza pale mpaka leo ninasubir ahadi... ila kuna mtu katokea katikati hapo kaka 😂Kweli mambo mengine ni kibali kutoka Kwa Mungu.
Kuna ndugu yangu alimaliza chuo 2021 Mwishoni Ila Leo hii hakamatiki alipata destiny helper wakaanza kufanya maisha ya Biashara na Kazi.
Kweli kujipambania ndo mpango mzimaMzee mm nishakutana na Honorable, mzanzibar halisi kabisa. Nikajimaliza pale mpaka leo ninasubir ahadi... ila kuna mtu katokea katikati hapo kaka 😂
Dunia mbaya sana na chungu mana safari ya kusubiria nchi ya ahadi imekuwa ngum zaidi na inayokatisha tamaa kuliko ile ya kumsaka yeye.
So kwa sasa naona faida na uzuri wa kujipambania mwenyewe. Hakuna nn wala nn mambo yameanza chini kabisa lakin yanaenda kwa udogo wake
So kwa mifano hii halis mtoa mada lazima ajichanganue, watu na roho zimebadilika siku hizi. Nafas zipo lakin watu wanahangaisha kwelikweli tena mpaka ndug zaoKweli kujipambania ndo mpango mzima
Amuombe tu Mungu.So kwa mifano hii halis mtoa mada lazima ajichanganue, watu na roho zimebadilika siku hizi. Nafas zipo lakin watu wanahangaisha kwelikweli tena mpaka ndug zao
*Panga sehemu karibu na kazini na kwa bei rahisi.Wakubwa mtu akipata deal la laki 3 Dar es salaam, ni kama mpya hajawahi fika na hana sehemu yeyote ya kufikia. Kwa mshahara wa laki 3 anaweza toboa Dar??
Mpe mkakati wa kutunza hicho kidogo afungue side hustlingAmuombe tu Mungu.
Kwamba miaka yote hiyo 10 atakua anafanya hiyo kazi ya laki 3Kujipata itakua kwa mbinde sans ns itakuchukua kama miaka kumi hv
Laki 3 ni wewe mwenyewe au una familia?Wakubwa mtu akipata deal la laki 3 Dar es salaam, ni kama mpya hajawahi fika na hana sehemu yeyote ya kufikia. Kwa mshahara wa laki 3 anaweza toboa Dar??
Mpe mkakati wa kutunza hicho kidogo afungue side hustling
Melxcom991Mkakati mkubwa atumie ile kanuni ya wakulima ambayo inasema hata Kama mavuno yatakuwa machache kiasi gani Ila lazima kutunza Mbegu. Kwa ajili ya msimu ujao.
Wakubwa nimewaelewa, kazi ipo kariako.Nieneo gani lilopo karibu na kariakoo kwa kupangisha room?Kila kitu ni uwezo wa akili zako tu, wengine wanaita imani.
Kazi ipo kariako, eneo gani la kupangisha room lip karibu na kariako?mwambie atoke mkoani aje tanzania
pesa nyingi sana hiyo
Ataenda wapi sasa labuda apige dili la wizi.mpwayungu mpaka leo anakula vumbi la chaki na ualimu wake.laki tatu sio mshahara ni panodol inatuliza maumivu siku moja mbili baadae njaa mpaka mwisho wa mweziKwamba miaka yote hiyo 10 atakua anafanya hiyo kazi ya laki 3
Potential hiyo mimi dar na miaka kupi na hayo mapotential people yamejificha sijui wapi hata siyaoni hayo mamilionea.naenda bar kilabuni maofisini sijui wapi na huyo potential simuoni.na utakua wewe mkuu hebu jitokeze nipe maconekisheniAfanye kazindani ya miezi 8 afungue hata genge kubwa kama side hustling mana sisi wengine tuko dar mda mrefu na hao watu potential hatujawapata. Dunia ina watu wabinafsi sana.... jamaa apambane yeye kama yeye