HAKUNAMATATA
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 996
- 2,267
Namuunga mkono raisi kwa kulipa Kodi kwa wakati, na ushuru kwa maendeleo ya Tanzania yetu ya viwanda hasa tukielekea kwenye uchumi wa katiUnaetoa toa huu ushauri kwa vijana wewe ni mzee mstaafu??
Kama ni mstaafu unapigania vipi suala la pension yenu?
Kama ni kijana unapambana vipi kurudisha uchumi wetu unaokufa kwa speed ya mwanga?
Si unijuze mimi kamjuze yeye mwenyewe maana alitangaza sababu ya kurudi huko, akisema hana hiyari kwenye hilo. Post yake yenyewe hadi aliiweka sponsored watu wajue. Nashangaa unavyokinzana nayeKurudi Africa Hilo ni Moja ya sharti za Fellowship
Lakini jiulize kitu kimoja
Kati ya wanafunzi 7 wa class 2017 kutoka Africa walopata ufadhili huo ni Benjamin peke yake ndio alierudi Africa full time
Hao wengine vipi mbona Bado wapo Marekani
Ngoja nikujuze ili uelewe
Licha ya kuwa na mfadhiliwa anatakiwa kufanya hivyo lakini Udhamini haukufungi Wala kukulazimisha kurudi Nyumbani Kama hutarudi Africa unatakiwa kulipia pesa zote za ufadhili kitu ambacho kwa graduate wa Stanford ni rahisi Sana kwani huwa wanatengeneza pesa nyingi wakiwa huko kuliko hizo za ufadhili Ndio maana huamua kulipa hyo pesa na kuendelea kupiga mishe zao huko huko
Hata yeye anauwezo wa kufanya hivyo kumbuka akiwa Stanford alishafanya kazi Bills and Melinda Gates foundation kulipa hiyo pesa ni kitu kidogo tu
Mifano ya wanaofanya hvyo Ni wengi tu
Mfano mzuri ni Hawa waliofadhiliwa na kina Benjimani mbona hawakurudi karudi yeye tu
Usiwe mbishi Basi kwa kuelewa vitu tofautiSi unijuze mimi kamjuze yeye mwenyewe maana alitangaza sababu ya kurudi huko, akisema hana hiyari kwenye hilo. Post yake yenyewe hadi aliiweka sponsored watu wajue. Nashangaa unavyokinzana naye
Akili zao zinaongozwa na upepo wa kisiasaNarudia tena, asithubutu kuzoeana na maprofesa wa Tanzania.
Ule ni uongo tuKukataa kwake ule mshahara aliamini kua vingi vi mbele
Uongo kivipiUle ni uongo tu
Ni nani wakumlipa mil 400 asingekataa hata hilo wazo lake haliwezi kumlipa kipato hichoUongo kivipi
Mimi nimeandika kile alichokieleza muda baada ya kurejea, sasa labda ukabishane na mhusika. Maana unapinga kama ni yeye vileUsiwe mbishi Basi kwa kuelewa vitu tofauti
Naongela nikifahamu ins and out za Stanford
Lete hiyo post hapa
Kwan niwangap walisomeshwa na serkal na hawakurud kulitumikia taifa laoHakurudi Tanzania kwa mapenzi yake mwenyewe, bali ni matakwa ya scholarship aliyopatiwa. Ilikuwa ni lazima arejee nyumbani baada ya kumaliza. Mwelewe hilo
Kamuulize yeye si mimi, maana yeye ndiye alitangaza sharti la ufadhili wake ni arejee nyumbani kuisaidia nchi. Hakusemewa na mtu, sasa mnapinga maneno ya BenjaminKwan niwangap walisomeshwa na serkal na hawakurud kulitumikia taifa lao
Acha mawazo finyu ewe IringakwanzaNi nani wakumlipa mil 400 asingekataa hata hilo wazo lake haliwezi kumlipa kipato hicho
Kasema wapi lete source hapa asije Kuwa alikuambia mkiwa wawili tuKamuulize yeye si mimi, maana yeye ndiye alitangaza sharti la ufadhili wake ni arejee nyumbani kuisaidia nchi. Hakusemewa na mtu, sasa mnapinga maneno ya Benjamin