Nilivyoona hii comment tu nikahisi utakuwa wewe na Nilivyovuta juu ni kweli.Nimesikia hataki kuajiriwa, sasa mambo ya kununuliwa na PayPal sijui yanatoka wapi?! Anao uwezo afanye peke yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivyoona hii comment tu nikahisi utakuwa wewe na Nilivyovuta juu ni kweli.Nimesikia hataki kuajiriwa, sasa mambo ya kununuliwa na PayPal sijui yanatoka wapi?! Anao uwezo afanye peke yake.
Hahaha Nanye Go!Nilivyoona hii comment tu nikahisi utakuwa wewe na Nilivyovuta juu ni kweli.
Kauli ya kukata tamaa hiHatuwezi wote tukawa benjamin
Kutoka kwenye familia nzuri kwa ukanda wetu ni kitu muhimu sana, sababu ndio kitakupa uwezo wa kupata elimu nzuri uitakayo na mahala popote pale.Kutoka family Nzuri sio hoja ya msingi kwenye mafanikio ya mtu mfano mzuri ni bill gate tu
Kutoka family Nzuri hakukufanyi utengeneze solution nzuri
Hakukufanyi ulete ushindani kwa level za kimataifa
Kinachopamba na uwezo na uweredi wako sio family hasa tunapokuja kwenye technology
He's smart and he deserves because of work hard of his and the Team
kwakweli, naomba ramani ya kufika hilo kanisaAlikuwepo leo Upanga CCC amezungumza vizuri sana. Anasema huwezi kuuwezesha mshumaa wako uwake kwa kuzima mishumaa ya wengine.
kwakweli, naomba ramani ya kufika hilo kanisa
https://www.google.com/search?ei=lW...wiz.......0i71j35i39j0j0i131j0i67.ohZ24oJkF4Y
MMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMM! Fellowship!!!!Kurudi Africa Hilo ni Moja ya sharti za Fellowship
Halafu muelewe huyo ana chembechembe za utajiri since mdogo, amekulia mazingira ya kishua sana na amepata Exposure za kutosha
Baba yake nasikia ni yule Mwenye kituo cha TV cha ATN
"Mtanzania mwenye asili ya Asia"
Ubarikiwe na Bwanaasante ngoja nitaenda nijue zaidi habari za YESU
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi ya Tanzania inapatikana bara la Asia?
Mbona mhindiHandome with brain[emoji4]
It doesn't matterMbona mhindi
Msiseme mtanzania sema chotaraIt doesn't matter
As long as amezaliwa Tanzania Ni mtanzania tayariMsiseme mtanzania sema chotara
Nimecheka sana.Narudia tena, asithubutu kuzoeana na maprofesa wa Tanzania.