mshahara wa mwalimu seminary

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
621
Wadau naomba kujua mshahara wa mwalimu wa a level physics shule za seminary ,wiki iliyopita nimepigiwa simu na kiongozi mmoja wa shule ya seminary kaskazini niende tuongee ikiwezekana nianze kazi huko.Sasa mishahara yao siijui naomba kujuzwa wanalipwaje?
 
Kazi kweli....unafikiri mishahara itakuwa sawa Seminary zote? Ulishindwa nini kumuuliza aliyekupigia simu ili akwambie? Kwa kawaida hayta ndani ya Seminary kunaweza kuwa na viwango tofauti vya mishahara, wanaojitambua watapewa kiwango kikubwa na wakati wasiojitambua wanaweza kulipwa kidogo
 
Mkuu hujanielewa nilitaka kujua koz atanipigia simu tunegoniate malipo ndio maana nataka kujua ili nijue pa kuanzia
Nataka kujua nimwambie anilipe sh ngapi badae
 
Kwani Seminary ni za Serikali je kama kila seminary inapanga mshahara wake.
 

about laki 6.5 kwenda mbele
 
Mkuu hujanielewa nilitaka kujua koz atanipigia simu tunegoniate malipo ndio maana nataka kujua ili nijue pa kuanzia
Nataka kujua nimwambie anilipe sh ngapi badae
Akikupigia wewe ndio umuulize watakulipa kiasi gani? Ukiona ndogo ndo umwambie wakuongezee....
 
aje pharmacy for degree holder starting salary n em na kilo1 serikalini

Sio kweli kaka pharmacist mshahara wa mfanyakaz ni 990000 bila makato ikiingzwa makato ya kodi na mengneyo unapokea kama laki saba had sita na nusu, ma intern wanalipwa laki 7 na tisin elf tu, course za afya ni sadaqa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…