Mshahara wa mwalimu unavyotafunwa CWT

Mshahara wa mwalimu unavyotafunwa CWT

Anaambiwa ni ADA YA UWAKALA.

Yaani, Mfano wanajifanya wanatetea labda ongezeko la mshahara ikitokea LIKAPATIKANA na nyie ambao siyo wanachama MTANUFAIKA.

Kwahiyo Kwasababu Kuna mambo utanufaika ndio WANAKATA hiyo pesa Kama wanavyokata wanachama wao.

Ingawa ni WIZI tu unaofanywa kwa baraka za serikali.
Kwa maana hiyo, wasio wanachama, wanakatwa kiwango sawa na ambao ni wanachama? Au kuna utofauti?
 
Kwa maana hiyo, wasio wanachama, wanakatwa kiwango sawa na ambao ni wanachama? Au kuna utofauti?
Kiwango ni kile kile. Tena wanachama Wana manufaa zaidi kuliko wasio wanachama licha ya kuchangia sawa.

Yaani DHULMA inafanyika kwa kushirikiana na serikali.
 
Kiwango ni kile kile. Tena wanachama Wana manufaa zaidi kuliko wasio wanachama licha ya kuchangia sawa.

Yaani DHULMA inafanyika kwa kushirikiana na serikali.
Na inakuwaje unakatwa bila ww kusaini makubaliano?
 
Hapo lawama zote zinabidi ziende Kwa serikali Kwa kushindwa kuwamulika hao viongozi wa cwt
 
Hapo lawama zote zinabidi ziende Kwa serikali Kwa kushindwa kuwamulika hao viongozi wa cwt
Serikali na hivyo vyama la kwao ni moja.

  • Anayekata pesa ya mishahara ya watumishi na kuwapa CWT ni SERIKALI.
  • Anayewachejea chekea hao CWT ni SERIKALI.

- Juzi BIBI TOZO kateua viongozi 3 wa CWT kuwa maDC na WAWILI WAMEKATAA.
 
Hiyo inawahusu wafanyakazi wote. Siyo walimu peke yao.
Atleast sekta zingine, taasis zao zina make sense. Makato ya CWT ndio yamekaa kijanja janja, maana miaka nenda rudi nawasikia wakilalamika tu
 
Atleast sekta zingine, taasis zao zina make sense. Makato ya CWT ndio yamekaa kijanja janja, maana miaka nenda rudi nawasikia wakilalamika tu
Watumishi wote ni yale yale. Walimu wanasikika sana Kwasababu ni WENGI.

Tena Afya ukiachana na Makato ya Vyama vya wafanyakazi bado wanalipia gharama za LESENI YA KAZI kila MWAKA.
 
Mialimu yenyewe imelala. Acha yaibiwe hadi yakome yajue nguvu yao na yaanze kupambana dhidi ya adui CWT
 
Ku
Niliandika barua kupita Mkuu wa Shule,Afisa elimu na mkurugenzi kuandika kuomba kujitoa unatoka CWT then unahamia Chakuwahata wao wanakata elf Tano tu maaana mtumishi wa Umma unapaswa uwe kwenye vyama vya wafanyakazi
Niko occupied kidogo ningetumia rough format humu ya Ile barua yangu ila Sasa ufatilie maaana ukikaa kimya hawakutoi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kumbe nawe ni mwalimu!!!!
Hongera japo mpwayungu village hawanyweshi maji
 
Hapo ujue DHRO na DED siyo wanufaika.

Wakija wengine, utawekwa na HAKUNA kitu utafanya.
Viongozi wa TALGWU ikifika Mei Mosi au wakati wa Mikutano yao WANAVYOKULA MINYAMA na BIA😂😂😂
 
Nasikitika kusema kwamba walimu wameandika barua za kujitoa na wakurugenzi wamepitisha. Lakini watu wa Lawson's wamekataa kuwaondolea hayo makato,eti watafungwa na cwt.
 
Niko zangu CHAKUHAWATA
Rudi chakamwata kimeshinda kesi dhidi ya waliotaka kife, chakamwata ndio muarobaini wa walimu,

C.w.t wanakula tu pesa ya mwalimu pasipo kumsaidia mwl. Chakuhawata wenyewe sera yao ni kupunguza tu maumivu ya makato kwa kuweka tsh.5000 ila ukikutwa na changamoto za kisheria ujitetee mwenyewe kwa madai kwamba hela wanayokata ni ndogo haitoshi kwa utetezi.

Chakamwata inakupa msaada wa kisheria pale ambapo itatokea kunamgogoro usiorekebishika na mwajiri wako.

Hima wale ambao mlikimbilia chakuhawata baada ya chakamwata kusimama kupisha kesi yake rudini kwa wingi sasa chama kimeshinda mahakama ya rufaa na kinaendelea na majukumu yake.
 
Back
Top Bottom