ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wewe Mwalimu kwa huo mshahara kweli unapaswa kuja kuzungumza hapa?Umeme mgao, mshahara bado...nimevurugwa tu, hapa nimenuna bila sababu.
Anyway, mama anaupiga mwingi.
Changanya na Captain Morgan ndo utafaidi zaidiNimekaa palee nasubiri mshahara utoke nimtumie mayele hela ya mafuta unbeaten kisha ninunue k vant bwaku nimekaa paleee wakuteseka acha wateseke.kesho ndo nianze kulipa madeni ya watu je wewe unasubiria mama acheke ili ufanyie nini pesa?Wenye nyumba tumerudi kwaheri.
Umewahi hata kupiga selfie nao!!?Salary labda inatoka kwa kada toka jana watu tushaimaliza aisee dunia hii
Weee jobless punguza chuki kwa waajiriwa, tafuta pesa, chuki zako hazitakunasua kwenye Lindi la ujobless.Wewe Mwalimu kwa huo mshahara kweli unapaswa kuja kuzungumza hapa?
Sijui kwa nn walimu mnajidhalilisha sana
Vipi Tayari?Nimekaa palee nasubiri mshahara utoke nimtumie mayele hela ya mafuta unbeaten kisha ninunue k vant bwaku nimekaa paleee wakuteseka acha wateseke.kesho ndo nianze kulipa madeni ya watu je wewe unasubiria mama acheke ili ufanyie nini pesa?Wenye nyumba tumerudi kwaheri.
Ukisikia kuwashwa ndio huko sasa, wewe ni Mwalimu?Weee jobless punguza chuki kwa waajiriwa, tafuta pesa, chuki zako hazitakunasua kwenye Lindi la ujobless.
Amejidhalilisha kwa Nani!!?
Ndio Mimi mwalimuUkisikia kuwashwa ndio huko sasa, wewe ni Mwalimu?
Mambo badoYaani kumtumia Mayele hela ni mpaka usubiri mshahara? Huo nao ni umasikini. Wenzako walishafanya miamala muda mrefu sana