Mshahara wa November

Mshahara wa November

Bora mie warimu, waripata tabhu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Jibu hoja yangu hapo juu kumbe wee mweupeee tu you know nothing ujuaji tu wa jamii forum[emoji23][emoji23]!.. una pretend much know unatukana watu ambao hata huwajua!.. nilikua naku respect hasa kwenye thread ya kubet unavyoendesha mapambano na mhind ,I thought Ni Hustler kumbe mtoto wa mama tu !.. Nakushaur usiji up grade I guess kichwani wewe ni mweupee kinyama!.. thumb down this case is closed!..
 
Wee ndo juha mkubwa, yaani unadhani Tanzania mzima wafanyakazi wanalipwa laki 7??? ,Hebu nitajie kada ambayo walu wake wanalipwa 700K harafu Mimi nikuletee mwalimu anayelipwa 1.5M
- punguza kukurupuka mkuu
-mleta mada ni mwajiriwa wa juzi tu 'mwenye degree ' hivyo probably anaweza akawa anapata laki7+
-kuhusu Mwalim kulipwa 1.5 ni kweli, lakini lazima ujue huo mshahara wa 1.5M sio entrance salary,ni senior huyo, wakati baadhi ya mashirika ya umma entrance levels ya degree ni 2.3M ukiwa CPA Entrance ni 3.2M Huku senior wao analipwa5M+
 
- punguza kukurupuka mkuu
-mleta mada ni mwajiriwa wa juzi tu 'mwenye degree ' hivyo probably anaweza akawa anapata laki7+
-kuhusu Mwalim kulipwa 1.5 ni kweli, lakini lazima ujue huo mshahara wa 1.5M sio entrance salary,ni senior huyo, wakati baadhi ya mashirika ya umma entrance levels ya degree ni 2.3M ukiwa CPA Entrance ni 3.2M Huku senior wao analipwa5M+
Sawa Mkuu, ahsante
 
Kuna kitu huwa sikielewi!! Hivi ni kwanini watu huwa wanateseka na kazi ambazo hawazifanyi wao? Kazi anafanya mtu mwingine na mshahara anapata mwingine ila unateseka wewe kweli?

Ooh utumwa!! Kwani kujiajiri sio utumwa kwamba wewe umekaa tu pesa zinamwagika?
 
Jibu hoja yangu hapo juu kumbe wee mweupeee tu you know nothing ujuaji tu wa jamii forum[emoji23][emoji23]!.. una pretend much know unatukana watu ambao hata huwajua!.. nilikua naku respect hasa kwenye thread ya kubet unavyoendesha mapambano na mhind ,I thought Ni Hustler kumbe mtoto wa mama tu !.. Nakushaur usiji up grade I guess kichwani wewe ni mweupee kinyama!.. thumb down this case is closed!..
Ooooh kumbe unanifuatilia?

Kumbe baba yako alienda labor?

Stick to your class bitch

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu huwa sikielewi!! Hivi ni kwanini watu huwa wanateseka na kazi ambazo hawazifanyi wao? Kazi anafanya mtu mwingine na mshahara anapata mwingine ila unateseka wewe kweli?

Ooh utumwa!! Kwani kujiajiri sio utumwa kwamba wewe umekaa tu pesa zinamwagika?
Afadhali na wewe useme
 
- punguza kukurupuka mkuu
-mleta mada ni mwajiriwa wa juzi tu 'mwenye degree ' hivyo probably anaweza akawa anapata laki7+
-kuhusu Mwalim kulipwa 1.5 ni kweli, lakini lazima ujue huo mshahara wa 1.5M sio entrance salary,ni senior huyo, wakati baadhi ya mashirika ya umma entrance levels ya degree ni 2.3M ukiwa CPA Entrance ni 3.2M Huku senior wao analipwa5M+
Kama shirika gani Mkuu?
 
Back
Top Bottom