Wewe Mwalimu kwa huo mshahara kweli unapaswa kuja kuzungumza hapa?
Sijui kwa nn walimu mnajidhalilisha sana
We unanitaka, panga siku nije nikususie kisirani kikuishe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Mwalimu kwa huo mshahara kweli unapaswa kuja kuzungumza hapa?
Sijui kwa nn walimu mnajidhalilisha sana
Achana nae huyo namjua, kila akiona ID yangu kiba100 chake kinamuwasha.Weee jobless punguza chuki kwa waajiriwa, tafuta pesa, chuki zako hazitakunasua kwenye Lindi la ujobless.
Amejidhalilisha kwa Nani!!?
Leo wamegoma kutuma kameseji kao
Yaan wana kera.. Sijui usiku?Leo wamegoma kutuma kameseji kao
Lakini pesa sio utumwa. Umewahi kujiajiri? Au umekuta wahenga wameshakuwekea kila kitu? Unajua utumwa wa kujiajiri?Kuajiriwa ni utumwa, unawaza upate hivyo vi laki 7ukalewee ujuha mtupu
Jibu hoja yangu hapo juu kumbe wee mweupeee tu you know nothing ujuaji tu wa jamii forum[emoji23][emoji23]!.. una pretend much know unatukana watu ambao hata huwajua!.. nilikua naku respect hasa kwenye thread ya kubet unavyoendesha mapambano na mhind ,I thought Ni Hustler kumbe mtoto wa mama tu !.. Nakushaur usiji up grade I guess kichwani wewe ni mweupee kinyama!.. thumb down this case is closed!..
Wee ndo juha mkubwa, yaani unadhani Tanzania mzima wafanyakazi wanalipwa laki 7??? ,Hebu nitajie kada ambayo walu wake wanalipwa 700K harafu Mimi nikuletee mwalimu anayelipwa 1.5MKuajiriwa ni utumwa, unawaza upate hivyo vi laki 7ukalewee ujuha mtupu
Njoo basi nikuchekeshe walau kidogo. Wanawake mkinuna huwa hamvutii kabisaUmeme mgao, mshahara bado...nimevurugwa tu, hapa nimenuna bila sababu.
Anyway, mama anaupiga mwingi.
- punguza kukurupuka mkuuWee ndo juha mkubwa, yaani unadhani Tanzania mzima wafanyakazi wanalipwa laki 7??? ,Hebu nitajie kada ambayo walu wake wanalipwa 700K harafu Mimi nikuletee mwalimu anayelipwa 1.5M
Sawa Mkuu, ahsante- punguza kukurupuka mkuu
-mleta mada ni mwajiriwa wa juzi tu 'mwenye degree ' hivyo probably anaweza akawa anapata laki7+
-kuhusu Mwalim kulipwa 1.5 ni kweli, lakini lazima ujue huo mshahara wa 1.5M sio entrance salary,ni senior huyo, wakati baadhi ya mashirika ya umma entrance levels ya degree ni 2.3M ukiwa CPA Entrance ni 3.2M Huku senior wao analipwa5M+
Ooooh kumbe unanifuatilia?Jibu hoja yangu hapo juu kumbe wee mweupeee tu you know nothing ujuaji tu wa jamii forum[emoji23][emoji23]!.. una pretend much know unatukana watu ambao hata huwajua!.. nilikua naku respect hasa kwenye thread ya kubet unavyoendesha mapambano na mhind ,I thought Ni Hustler kumbe mtoto wa mama tu !.. Nakushaur usiji up grade I guess kichwani wewe ni mweupee kinyama!.. thumb down this case is closed!..
Afadhali na wewe usemeKuna kitu huwa sikielewi!! Hivi ni kwanini watu huwa wanateseka na kazi ambazo hawazifanyi wao? Kazi anafanya mtu mwingine na mshahara anapata mwingine ila unateseka wewe kweli?
Ooh utumwa!! Kwani kujiajiri sio utumwa kwamba wewe umekaa tu pesa zinamwagika?
Kama shirika gani Mkuu?- punguza kukurupuka mkuu
-mleta mada ni mwajiriwa wa juzi tu 'mwenye degree ' hivyo probably anaweza akawa anapata laki7+
-kuhusu Mwalim kulipwa 1.5 ni kweli, lakini lazima ujue huo mshahara wa 1.5M sio entrance salary,ni senior huyo, wakati baadhi ya mashirika ya umma entrance levels ya degree ni 2.3M ukiwa CPA Entrance ni 3.2M Huku senior wao analipwa5M+