Mshahara wa Rais Magufuli wawa gumzo Kenya

Mshahara wa Rais Magufuli wawa gumzo Kenya

Hapo umeandika nini!? Wewe nawe ni walewale!
huwelewi nilichoandiaka au? ina maana hata kama JPM angekuwa katukanwa watu aina hii wangefurahi. kama mtu ni mjinga bora ukae kimya. ukiongea ujinga wako unaudhihirisha. ndo hao waliokuwa washaanza kumbeza JPM kwa hiyo sentensi. washadhihirisha ni wajinga kiasi gani. watu wenye akili zao tu kama wakenya ndio wanaweza kumkubali JPM.
 
kwa wale wasiolewa non nonesense

no-non·sense

adjective
simple and straightforward; sensible.
synonyms: straightforward, forthright, upfront, pragmatic, down-to-earth, down-to-business, matter-of-fact
"we like your no-nonsense approach"

maana naona kiingereza rahisi tu watu kimewapiga chenga
Bora umewanyoshea mkuu, make hapa ni balaa, wanafikiri mkuu katukanwa..
 
Kanibore jana kusema hatuongezi nanilino eti hadi uzalishaji ukinoga!!!!
🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁
 
kama bombardier zinanunuliwa kimya kimya, madiwani na wabunge wanahongwa, pesa za miradi mbali mbali kulipwa moja kwa moja na executive, nk nk - kipi kitamzuia mtu kujilipa TSHS 100M na bado akadai anapata 9M??

wanaoweza kuamini upuuzi huu ni misukule tu!!

Naona miradi mingi inaelekezwa kwa makondakta ili apate ujiko
 
huwelewi nilichoandiaka au? ina maana hata kama JPM angekuwa katukanwa watu aina hii wangefurahi. kama mtu ni mjinga bora ukae kimya. ukiongea ujinga wako unaudhihirisha. ndo hao waliokuwa washaanza kumbeza JPM kwa hiyo sentensi. washadhihirisha ni wajinga kiasi gani. watu wenye akili zao tu kama wakenya ndio wanaweza kumkubali JPM.

Hivi unajua kanuni za uandishi? Ukiweka nukta unaanza na herufi kubwa.

Ukishaweza kuandika ndio nitakujibu,
 
Kanibore jana kusema hatuongezi nanilino eti hadi uzalishaji ukinoga!!!!
🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁

Hahahahahahaha!!! Pole NAHUJA, namba zinazidi kusomeka.
 
Huo ni uongo mshahara wake ni zaidi ya 35 miilioni kwa mwezi au zaidi ya milioni 400 kwa mwaka. Huyu muongo anajulikana kwa uongo wake uliokithiri. Kipi kinachomshinda kuweka salary slip yake aliyoahidi hadharani? Acheni kumuamini huyu muongo wa kiwango cha Phd. Mshahara wake ni $192,000 kwa mwaka au sawa na $16,000 kwa mwezi times 2,200 sawa na 35.2 million kwa mwezi.

Below is a brief summary of 30 highest earning African Presidents:



Country Net pay per anum President
1 Cameroon US$610,000 Paul Biya
2 Morocco US$480,000 King Mohammed VI
3 South Africa US$272,000 Jacob Zuma
4 Tanzania US$192,000 Jakaya Kikwete
5 Algeria US$164,000 Abdel Aziz Bouteflika
6 Equatorial Guinea US$150,000 Theodore Nguema
7 Kenya US$132,000 Uhuru Kenyatta
8 Somalia US$120,000 Hassan Sheikh Mohamoud
9 Comoros US$115,000 Ikililou Dhoinine
10 Congo Republic US$110,000 Denis Sassou Nguesso
11 Namibia US$110,000 Hage Geingob
12 Zimbabwe US$108,000 Robert Mugabe
13 Mauritius US$104,838 Ameenah Gurib
14 Cote D’Ivoire US$100,000 Alassane Ouattara
15 Liberia US$90,000 Ellen Johnson Sirleaf
16 Rwanda US$85,000 Paul Kagame
17 Angola US$81,075 José Eduardo dos Santos
18 Ghana US$76,000 John Dramani Mahama
19 Malawi US$75,348 Peter Mutharika
20 Egypt US$72,000 Abdel Fattah el-Sisi
21 Nigeria US$70,000 Muhammadu Buhari
22 Mali US$69,609 Ibrahim Boubacar Keïta
23 Botswana US$66,713 Ian Khama
24 Gabon US$65,000 Ali Bongo Ondimba
25 Zambia US$56,000 Edgar Lungu
26 Dr.Congo US$52,97 Joseph Kabila
27 Swaziland US$52,128 Mswati III
28 Mozambique US$47,500 Filipe Nyusi
29 Ethiopia US$44,472 Mulatu Teshome
30 Lesotho US$36,000 Letsie III
Lkn hpo ameandikwa Kikwete mkuu, yeye kasema amejipunguza mashahara, ila kikubwa ambcho angefanya ni kutuwekea pay stubs zake tu..
 
Hivi unajua kanuni za uandishi? Ukiweka nukta unaanza na herufi kubwa.

Ukishaweza kuandika ndio nitakujibu, siwezi kujibizana na mjinga usiyejua kuandika.
yaani katika maisha yako yote unajua kuanza na capital letter baada ya full stop tu.
 
Hivi unajua kanuni za uandishi? Ukiweka nukta unaanza na herufi kubwa.

Ukishaweza kuandika ndio nitakujibu, siwezi kujibizana na mjinga usiyejua kuandika.
Mbona umeshamjibu, au hayo yalikuwa maelekezo
 
unanieleza ujinga wa darasa la kwanza. yaani katika maisha yako yote unajua kuanza na capital letter baada ya full stop tu. nahisi wew ni kati ya wale wat 12000 waliotajwa na JPM

Aiseee Utaendelea kuhisi hivyo hivyo!!!
 
Back
Top Bottom