Mshahara wa Rais Magufuli wawa gumzo Kenya

Hapo umeandika nini!? Wewe nawe ni walewale!
huwelewi nilichoandiaka au? ina maana hata kama JPM angekuwa katukanwa watu aina hii wangefurahi. kama mtu ni mjinga bora ukae kimya. ukiongea ujinga wako unaudhihirisha. ndo hao waliokuwa washaanza kumbeza JPM kwa hiyo sentensi. washadhihirisha ni wajinga kiasi gani. watu wenye akili zao tu kama wakenya ndio wanaweza kumkubali JPM.
 
Bora umewanyoshea mkuu, make hapa ni balaa, wanafikiri mkuu katukanwa..
 
Kanibore jana kusema hatuongezi nanilino eti hadi uzalishaji ukinoga!!!!
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 

Naona miradi mingi inaelekezwa kwa makondakta ili apate ujiko
 

Hivi unajua kanuni za uandishi? Ukiweka nukta unaanza na herufi kubwa.

Ukishaweza kuandika ndio nitakujibu,
 

Hahahahahahaha!!! Pole NAHUJA, namba zinazidi kusomeka.
 
Lkn hpo ameandikwa Kikwete mkuu, yeye kasema amejipunguza mashahara, ila kikubwa ambcho angefanya ni kutuwekea pay stubs zake tu..
 
Hivi unajua kanuni za uandishi? Ukiweka nukta unaanza na herufi kubwa.

Ukishaweza kuandika ndio nitakujibu, siwezi kujibizana na mjinga usiyejua kuandika.
yaani katika maisha yako yote unajua kuanza na capital letter baada ya full stop tu.
 
Hivi unajua kanuni za uandishi? Ukiweka nukta unaanza na herufi kubwa.

Ukishaweza kuandika ndio nitakujibu, siwezi kujibizana na mjinga usiyejua kuandika.
Mbona umeshamjibu, au hayo yalikuwa maelekezo
 
unanieleza ujinga wa darasa la kwanza. yaani katika maisha yako yote unajua kuanza na capital letter baada ya full stop tu. nahisi wew ni kati ya wale wat 12000 waliotajwa na JPM

Aiseee Utaendelea kuhisi hivyo hivyo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…