Diamond anaemuonea wivu (sio kumkandia) huyu mtoa mada,maisha yake ya kuishi hapa duniani haji kumfikia hata robo ya kipato chakeWabongo tupo vizuri sana kwenye kufuatilia mapato ya watu wengine
Daah yaani ww utakua ni mchawi bado vitendea kazi aisee ,Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Vipi ulikuwepo wakati wa kusign mkataba?Dogo ametusua, analipwa zaidi ya 20 million per day
Naamini atajipanga vyema ili mwisho wa carrier yake angalau awe na academy yake hapa bongo.