Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond

Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond

Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii

Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..


90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Jamani msianze sasa kuwachonganisha tena hawa watoto! Mnataka kuanza kuwachonganisha tena kama mnavyofanya kwa Diamond na Ali Kiba? Wewe ulitakiwa ufurahi kwamba kijana mwingine mtanzania mwenye kipato kikubwa amepatikana, kwa hiyo ni fahari kwa Taifa letu. Usianze tena kumponda Diamond ambaye ndiye alikuwa anongoxza na si Tanzania tu bali Afrika Mashariki na pengine hata beyond. Kama wewe wakati unasoma shuleni kuna wakati ulibahatika kuwa wa kwanza Darasani kwenu, utakubaliana kabisa na mimikuwa 'BECOMING NUMBER ONE IS EASIER THAN REMAINING NUMBER ONE! Kuwa mtu wa kwanza ukiwa unaongoza kwenye medani fulani, ni rahisi zaidi kuliko kuendelea kuwa wa kwanza ukiongoza kwenye medani hiyo, hiyo ni ngumu kidogo. Kwa hiyo Diamond kupitwa na Samatta siyo kosa na wala msiwashabikie katika namna ambayo itawasababisha wawe maadui, washabikieni katika namana ambayo itawafanya wawe marafiki wa karibu zaidi, na vijana mnatakiwa muone fahari kwamba vijana wenzenu wanaweza kujipatia kipato halali kikubwa na wakalipa kodi kwa Serikali yenu, kipato kikubwa cha kutuzidi hata sisi wazee wenye miaka 60+ ambao tunapata chini ya 1m kwa mwezi> Mbarikiwe vijana.
 
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii

Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..


90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Habari ni mshahra wa Samatta ambao hata hujaandika ni kiasi gani, ila umeegemea sana kwa Diamond inaingiaje...utoto ama wivu ama una vinasaba vya Delicious James
 
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii

Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..


90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Kwa jinsi ulivo na chuki Nahisi chibu alikugonga hakukulipa kwaiyo hasira unamalizia kwenye mitandao.
 
*Mshahara wa Samatta*


[emoji383] kwa Mwaka - £2.6m (Tsh Bil 8).

[emoji383] Kwa Mwezi - £ 204,000 (Tsh Mil 610

[emoji383] Kwa wiki - £51,000 (Tsh Mil 153)

[emoji383] Kwa siku - £7285 (Tsh Mil 21)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii

Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..


90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Ukweli mchungu,na hapo bado kukodi treni na kusafirisha watu Dar-Kigoma bure,hii hata Dangote mwenyewe hajawai fanya,hongera Samatta...
 
Ulaya ligi zote kwa wachezaji wa nje kodi ni zaidi ya 40%.
*Mshahara wa Samatta*


[emoji383] kwa Mwaka - £2.6m (Tsh Bil 8).

[emoji383] Kwa Mwezi - £ 204,000 (Tsh Mil 610

[emoji383] Kwa wiki - £51,000 (Tsh Mil 153)

[emoji383] Kwa siku - £7285 (Tsh Mil 21)


Sent using Jamii Forums mobile app
Kodi kwa ligi ya uingereza ni 45%,bado hapo kuna makato kwa ajili ya bima yake ya afya na familia yake unaweza ukakuta per week anachukua pound 20,000,ambazo sawa na milioni 60.
 
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii

Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..


90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Kwani Samatta ni Mtanzania? Mbona kuna wanaosema ni Mkenya alikuja Tanzania kwa kusoma chuo ?
Au amekua Mlima Kilimanjaro uko Kenya na Uko Tanzania?
 
Back
Top Bottom