Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bongo ni tsh ngap?Mshahara wake ni £milioni 600 per week.
Hahahahahahahahah Sio kila kitu mpaka u comment, kama vitu vingine hauvijui kuwa msomaji tu £ 600 ml per week unaijua vizuri kweli.Mshahara wake ni £milioni 600 per week.
Kwa chuki uliyonayo juu ya Platinumz, ninashawishika kuamini yafuatayo:-
1.Kwenu wote ni wanawake.
2.Kwenu wote mmewekewa vizibo kwenye pulu zenu ili kuzuia uharo kama huu uliomwaga hapa.
3.Kwenu wote wachawi.
4.Huenda ulishawahi kugegedwa na mond, akakudhulumu malipo yako.
Watu wasiokuwa na sifa hz nlzotaja hapo juu, hawawez kuwa na wivu, kama wako.
Nawe kama hujui kuwa tu msomaji. Akili yako inashindwa kupambanua mambo ya utani?Hahahahahahahahah Sio kila kitu mpaka u comment, kama vitu vingine hauvijui kuwa msomaji tu £ 600 ml per week unaijua vizuri kweli.
Hodi tena
Ni kama Trillion 1 na bilioni mia 5 kwa wiki.bongo ni tsh ngap?
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Kama huna kitu na huna kazi ya kukuweka bize lazima maisha ya wengine yakuweke bizeWabongo tupo vizuri sana kwenye kufuatilia mapato ya watu wengine
Na mtoa mada si aseme kama wako sawa kimkwanja na uyo domo!Watu wote hawawezi kulingana hilo halimwondolei heshima mwingine