Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Kote umezngua kasoro hapa
..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Hii ndiyo zawadi yetu wazee kujadili mada za watoto. Ukiwashauri wakali kama nyuki. Ipo siku mtakuja kupoa tu, mnadhani kutukana kwenye mitandao ni sifa, shauri yenu!Wewe kweli duwanzi..Diamond ampite Wanyama utajiri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kmmmk walaiBaada ya kupost mleta mada akamzaba kibao mdogo wake akimlalamikia kwanini kamaliza kiporo chote cha wali.
Maisha haya.
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Iwe isiwe maisha ameshatoboa. Juu ya tax hizo kuna council tax. Hiyo ni makato ya nyumba unalipa either kwa mwezi au kwa mwaka. Unacholipa inategemea na sehemu unayoishi. Area ikiwa nzuri ushuani tax inakuwa kubwa. Na haikwepekiUlaya ligi zote kwa wachezaji wa nje kodi ni zaidi ya 40%.
Kodi kwa ligi ya uingereza ni 45%,bado hapo kuna makato kwa ajili ya bima yake ya afya na familia yake unaweza ukakuta per week anachukua pound 20,000,ambazo sawa na milioni 60.
![]()
Footballers Salaries After Tax
2014 - 2015 football players Salaries after tax deduction in top league around europe list of amount of tax footballers have to pay on their weekly salarieswww.tsmplug.com
kwanini unawadharau wasajili line?Unaweza kushtuka mleta mada anafanya kazi ya kusajili line tu na anaishi kwa wazazi wake
By the way Mond anaishi maisha mazuri na ya furaha
Ht km Ni kwl Sasa kumringanisha p. Didy Na Christian Ronaldo Au Messi uzur wa usanii njee ya show anazo fanya anauza music kwenye plattform mbali mbali ambazo zina muingizia hela nyingi pamoja Na matangazo Kwahiyo Mm cio km kuna fact Na huwez kusikia Messi Au Ronaldo kampita utajir Jay Z*Mshahara wa Samatta
[emoji383] Mwaka - £2.6m (Tsh Bil 8)
[emoji383] Kwa Mwezi - £ 204,000 (Tsh Mil 610
[emoji383] Kwa wiki - £51,000 (Tsh Mil 153)
[emoji383] Kwa siku - £7285 (Tsh Mil 21)*
Pound 20000 per weekMbona hujatuambia ni shilingi ngapi analipwa?
P didy ana miaka karibia 50 that means wakati ana miaka 30 alikuwa tayari bilionea wakati ronaldo alikuwa mtoto mdogo tu so ronaldo anampitaje mkwanja?Ht km Ni kwl Sasa kumringanisha p. Didy Na Christian Ronaldo Au Messi uzur wa usanii njee ya show anazo fanya anauza music kwenye plattform mbali mbali ambazo zina muingizia hela nyingi pamoja Na matangazo Kwahiyo Mm cio km kuna fact Na huwez kusikia Messi Au Ronaldo kampita utajir Jay Z
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂We unaingiza sh ngapi hapo tukuyu!?