Mshahara wa 'Tutorial Assistant' University of Bagamoyo ni sh ngapi?

KIFPA

Member
Joined
Oct 3, 2012
Posts
64
Reaction score
18
Saluti wadau wa JF!
Naomba msaada mimi na jamaa yangu tumepata nafasi ya ututorial assistant na Laboratory technician ila kwa sasa tuna kazi sehemu hivyo tunataka kujua maslahi yakoje ili tuamue kwenda au la maana tupo mbali na jiji tupo mikoani. Kama kuna mtu mwenye details atusaidie jamani tuwe na maamuzi sahihi.
 

Sasa ww unatuambia umeitwa kazini bila kunegotiate salary???Anyway kwa kukusaidia tu hao Bagamoyo university ni wazushi(trust me)..walimu wanaeza kaa miezi mitatu hawajalipwa..nna rafiki angu anafundisha hapo,miezi michace iliopita tulifanya nae inetrview elsewhere..nkamuuliza kulikoni ilhali ww ni mwalimu tena kwenye xpensive chuo???akaniambia siri ya mtungi ajuae kata!!hapo alipo alikuwa ana three months bila mshahara!amesoma LL.M..so ndugu kabla hujaondoka kwa mbwembwe bora uwakomalie uone hiyo offer yao,then utajua kama its worth it or not
 
huyu mtoa thread mzushi,kazi gani umepata alafu hujui mshahara kiasi gani?
kwani barua yako ya kuitwa kazini/ offer haina maelezo juu ya maslahii ya mfanyakazi?
au labda umealikwa kwenye usahili unataka wana jf wakusaidie scale ya mshahara ya hiyo taasisi ,funguka vizuri tukusaidie
 
Acha uzushi kweli hawajanitumia chochote ndo nataka niende nikachukue hivyo nataka nijue panakuwaje ili nisichome nauli bure ikaw sio poa
 
Acha uzushi kweli hawajanitumia chochote ndo nataka niende nikachukue hivyo nataka nijue panakuwaje ili nisichome nauli bure ikaw sio poa
its simple bro!kama unaona ishu ni kuchoma nauli kwenda bagamoyo,waambie barua wakutumie kwa fax
alafu hizo taarifa za kupata ajira ulizipata kwanjia gani? maana naona thread zako haziingii akilini kwangu kuhusu hiyo ajira yako!
 
its simple bro!kama unaona ishu ni kuchoma nauli kwenda bagamoyo,waambie barua wakutumie kwa fax
alafu hizo taarifa za kupata ajira ulizipata kwanjia gani? maana naona thread zako haziingii akilini kwangu kuhusu hiyo ajira yako!

mkuu kipo DSM hicho chuo.
 
Kwani hiyo kazi umeipata kwa kushikwa mkono na wazee wa Bagamoyo? Wewe kama kweli ulifanya interview wakati wa interview hukusema unataka kulipwa shlingi ngapi? Kama ulisema let say milion 3 kwenye interview na leo umeitwa kufanya kazi basi jua wamekubaliana na hiyo milion tatu. Otherwise kama ulishikwa mkono we muulize aliekushika mkono atakulipa shilingi ngapi au kama unamuogopa we nenda hivo hivo tu maana nyie ndo mnaharibia watu wengine wenye uhitaji
 
Hujasign mkataba? Well inawezekana wanasign baada ya miezi mitatu au sita, lazima utatakiwa kukubaliana na mwajiri wako kuhusu mshahara!!!!
 
Kwetu Bagamoyo lakini nilikuwa sijui kama kuna University of Bagamoyo, du hii kali
 
Komaa hapo ulipo
NDG yangu naheshimu mawazo yako, walinopigia simu wakaniambia kuwa nilishinda interview,wakasema wanaandaa mambo sasa lengo lang nijuie mapema inakuwaje. Sasa nidokezee kwa nini basi au nipm ili niasiliane na ww maana siwezi kukupm sijatimiza mashart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…