KIFPA
Member
- Oct 3, 2012
- 64
- 18
Saluti wadau wa JF!
Naomba msaada mimi na jamaa yangu tumepata nafasi ya ututorial assistant na Laboratory technician ila kwa sasa tuna kazi sehemu hivyo tunataka kujua maslahi yakoje ili tuamue kwenda au la maana tupo mbali na jiji tupo mikoani. Kama kuna mtu mwenye details atusaidie jamani tuwe na maamuzi sahihi.
Naomba msaada mimi na jamaa yangu tumepata nafasi ya ututorial assistant na Laboratory technician ila kwa sasa tuna kazi sehemu hivyo tunataka kujua maslahi yakoje ili tuamue kwenda au la maana tupo mbali na jiji tupo mikoani. Kama kuna mtu mwenye details atusaidie jamani tuwe na maamuzi sahihi.