Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Kwamba wewe unaenda kiwandani unachukua mzigo kwa jumla let us say tani moja ya Sundrop au Blue band au pipi whatever,unaenda mtaani kutafuta wenye maduka ya rejareja unawauzia kwa bei ya jumla jumla then baada ya wiki unapita kukusanya hela yako (kumbuka hawa wengi unaweza ukawaachia mzigo kwa mali kauli tu) hii kitu faida yake ni kwamba wenye maduka wanasave nauli na muda,ukishapa wateja wako 10-20 wa uhakika basi nakuambia baada ya miaka kadhaa utaona matunda yake..