Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
Nimetoka zangu Tukuyu Mbeya nimekuja na scania mende na humo nilijaza mzigo wa ndizi matoki wote wangu na nimefanikiwa kuuza jana wote soko la mabibo nina kakibunda kanene kiasi na lengo la kujaza scania mende hii ni kwa ajili kuweza kufanya matanuzi na kukamata wachumba kede kede wa daslam.
Location nipo vikindu mkoa wa pwani nimepanga chumba kwa miezi mitatu tu kisha nirudi zangu Tukuyu. Kutoja vikindu hadi samaki samaki napanda gari za wapi?
Na kutoka vikindu hadi beach kidimbwi napanda gari za wapi? Na kutoka vikindu hadi kitambaa cheupe sinza napanda gari za wapi?
Na kutoka vikindu hadi kwa chef kile yule mchoma nyama napanda gari za wapi?
Nataka ndani ya hiyo miezi mitatu nichakate makalio ya wadada wa Daslam yasiyopungua 97, sasa waswahili wa huku Vikindu nawauliza hayo maeneo wananitolea macho tu na barakashia zao “hatupajui sieee kwani watoka wapi wee?
Nikasema bullshit, naenda kuuliza JF kuna wana na bebez kibao nitatimba tu hayo maeneo
Location nipo vikindu mkoa wa pwani nimepanga chumba kwa miezi mitatu tu kisha nirudi zangu Tukuyu. Kutoja vikindu hadi samaki samaki napanda gari za wapi?
Na kutoka vikindu hadi beach kidimbwi napanda gari za wapi? Na kutoka vikindu hadi kitambaa cheupe sinza napanda gari za wapi?
Na kutoka vikindu hadi kwa chef kile yule mchoma nyama napanda gari za wapi?
Nataka ndani ya hiyo miezi mitatu nichakate makalio ya wadada wa Daslam yasiyopungua 97, sasa waswahili wa huku Vikindu nawauliza hayo maeneo wananitolea macho tu na barakashia zao “hatupajui sieee kwani watoka wapi wee?
Nikasema bullshit, naenda kuuliza JF kuna wana na bebez kibao nitatimba tu hayo maeneo