Nani yanga? Au ushabiki mandazi unakusumbua?Salamba yuko poa,in short Yanga sasa hivi hamna striker mwenye uwezo wa Salamba
Hta hyo rashid ni garasa vile vile!!Ukiondoa Shaban Idd wa Azam na Rashid wa Prisons, hakuna mshambuliaji mzuri Mtanzania aliye nje ya Simba zaidi ya Salamba na Kaheza
Kwahivyo wakisajiliwa wachezaji wa Kimataifa. Wale wazawa hawana nafasi? Acha kujitoa fahamu ninyi Vyura.Yaan simba ndyo wanataka kuchukua ubingwa wa afrika kwa wachezaji dizain hii ya salamba ambao mpaka wapate nafasi kumi za kufunga ndyo apate goli moja....so pathetic
Hili ni garasa time will tell!!!
Mlitaka muingie choo cha kike ...hyu dogo nimeanza kumfatilia tokea akiwa stand hana potential kivile ni wa kawaida mno hta ball control ni mtihani mkubwa kwake...Mkuu mbona sisi yanga tulikuwa tunataka atusaidie mechi za kimataifa na tuliandika huyu ni mchezaji mzuri tuachen wivu wa kike... Ndo maana mkwasa alifikiria katika wachezaj wote akamwona salamba... Jamaa wametuzid wamempata tukubali kushindwa tu
mapovu ...tulieni sindano ziingie kwenye makalio yenuYaan simba ndyo wanataka kuchukua ubingwa wa afrika kwa wachezaji dizain hii ya salamba ambao mpaka wapate nafasi kumi za kufunga ndyo apate goli moja....so pathetic
Hili ni garasa time will tell!!!
Sio kujitoa ufahamu mi nimeongea fact...salamba ni garasa nafasi kumi atafunga moja tu!!Kwahivyo wakisajiliwa wachezaji wa Kimataifa. Wale wazawa hawana nafasi? Acha kujitoa fahamu ninyi Vyura.
HahahahaKama Mr Ontario
Salamba ni bahanuzi typemapovu ...tulieni sindano ziingie kwenye makalio yenu
mkuu hawa ni wanafiki...tena wakubwa ..wao walipokua wanataka kumuazima sio magarasa !!! na wangekua na hela na kumsajili tena wangetamba mwezi mzimaKwhyo nyi chura sc alikua sio garasa mlivotaka kmuazima
Za babake,Mali za urithiDah yani ukimchek Mo unaweza hisi ka jamaa flan hivi kahuni huni kumbe bilionea wa hatari.
angeenda yanga gongowazi angepata nafasi kumi na angefunga 9 na kukosa mojaSio kujitoa ufahamu mi nimeongea fact...salamba ni garasa nafasi kumi atafunga moja tu!!
Weka wewe unaebisha!Weka clip ya Adam nafasi kumi anafunga moja. Kukazia maneno yako
Hyo dogo nimemfatilia tokea stsnd sio goal gater ana mapungufu mengi sana ...alikuwa anakosa magoli ya wazi mengi tu ...cha muhimu tuwe na subra ninayokwambia utayashudia mwenyeweAaaah..!Kwani nimesema mimi nafasi kumi anafunga moja. Mbona unakikana kivuli chako
We unachuki naye binafsi. Na ni heri huyu anauwezo wa kukifikia goli. Hakuna alizaliwa anaweza ni kujifunza na kila timu ina malengo yake. Hata Samatta watu walibeza alipotoka African LyonHyo dogo nimemfatilia tokea stsnd sio goal gater ana mapungufu mengi sana ...alikuwa anakosa magoli ya wazi mengi tu ...cha muhimu tuwe na subra ninayokwambia utayashudia mwenyewe
Wewe baba yako kakurithisha nini?Za babake,Mali za urithi
Mavazi yake yanatia ukakasi,au ndio wale wale??Mo na hako kapensi kake dah!