Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Mhuni tu huyo.
Alianza ba Mbagala Market, akaiuza.
Baadaye Singida United akaitekekeza!
Sasa ni zamu ya Simba, ataipiga bei maana imekuwa bidhaa kama bidhaa nyingine tu.
Mo na hako kapensi kake dah!
Tatizo la simba badala ya kuendesha club kimkakati kwa kusajili wachezaji wenye uzoefu kimataifa wanasajili kisiasa na kimihemko ya kimanara manara kisa tu huyu mchezaji alitakiwa na Yanga, kwa akili zao wanahisi wanawakomoa yangaYaan simba ndyo wanataka kuchukua ubingwa wa afrika kwa wachezaji dizain hii ya salamba ambao mpaka wapate nafasi kumi za kufunga ndyo apate goli moja....so pathetic
Hili ni garasa time will tell!!!
Hivi simba wanashindwa kuasjili huko majuu wanasajili kutoka majimaji na lipuli? Hivi washauri wa simba ni akina nani? $
Sasa hivi wanamtaka Tshishimbi. Ha ha ha!!!Tatizo la simba badala ya kuendesha club kimkakati kwa kusajili wachezaji wenye uzoefu kimataifa wanasajili kisiasa na kimihemko ya kimanara manara kisa tu huyu mchezaji alitakiwa na Yanga, kwa akili zao wanahisi wanawakomoa yanga
Tatizo la simba badala ya kuendesha club kimkakati kwa kusajili wachezaji wenye uzoefu kimataifa wanasajili kisiasa na kimihemko ya kimanara manara kisa tu huyu mchezaji alitakiwa na Yanga, kwa akili zao wanahisi wanawakomoa yanga
Usajili kwa kutumia akili za watu kama Haji Manara.Tatizo la simba badala ya kuendesha club kimkakati kwa kusajili wachezaji wenye uzoefu kimataifa wanasajili kisiasa na kimihemko ya kimanara manara kisa tu huyu mchezaji alitakiwa na Yanga, kwa akili zao wanahisi wanawakomoa yanga
Ni kweli, si unajua Mikia wanasajili kwa ajili ya kuwafunga Yanga? MyopiaSalamba yuko poa,in short Yanga sasa hivi hamna striker mwenye uwezo wa Salamba