OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kumbe na wewe ni mjinga kiasi hicho kiasi kwamba hujui kuwa Ajib ni kiungo?
~APM~
Striker wa Yanga ni
1.Donald Ngoma
2.Amis Tambwe
3.Obrien Chirwa
Ibrahim Ajibu ni kiungo mshambuliaji na alifunga magoli machache sababu alikuwa anachezea timu mbovu ya mchangani ambayo katika misimu 5 iliyopita nafasi ya juu waliyomaliza ni nafasi ya pili