OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Katika usajili makini waliofanya Yanga kuimarisha striking force ni pamoja na kumsajili mshabuliaji Ajibu kutoka Simba.
Kumbukumbu za Ajibu zinaonyesha kuwa kwa misimu mitatu amefunga goli 24 ambapo ni wastani wa magoli 8 kila msimu. Katika club aliyekuwa akichezea Ajibu amezidiwa mabao na winga Shiza Kichuya aliyefunga mabao 12 licha ya kuwa sio mfungaji
Huyu ndio Ajibu mshambuliaji matata wa Yanga
Kumbukumbu za Ajibu zinaonyesha kuwa kwa misimu mitatu amefunga goli 24 ambapo ni wastani wa magoli 8 kila msimu. Katika club aliyekuwa akichezea Ajibu amezidiwa mabao na winga Shiza Kichuya aliyefunga mabao 12 licha ya kuwa sio mfungaji
Huyu ndio Ajibu mshambuliaji matata wa Yanga