Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni adhabu ya muda gani?Mshambuliaji wa Wolfsburg Kevin Behrens amesimamishwa na klabu yake baada ya kukataa kusaini jezi yenye rangi ya upinde wa mvua.
Pia alitumia maneno ya dharau kueleza kuwa hatasaini jezi hiyo.
Rochdale family.who is behind with this shit..??
can you prove it to me before insulting them..?Rochdale family.
Picha ya Jezi iko wapi?Mshambuliaji wa Wolfsburg Kevin Behrens amesimamishwa na klabu yake baada ya kukataa kusaini jezi yenye rangi ya upinde wa mvua.
Pia alitumia maneno ya dharau kueleza kuwa hatasaini jezi hiyo.
Ni sawa na ccm inavyopambana kubaki madarakani nguvu yake unaweza kufungua kiwanda cha Nyukilia. Ila maendeleo sasa ni sisimiziMbonq watu hatutumii nguvu hii kuukataa umasikini!
You can Google mkuu hyo familia kwanza wanaowa wenyewe kwa wenyewe yaani huruhusiwi kuoa nje ya familia they control many president in the world na ndio huwa wana mamlaka ya bei kwenye soko la mafuta duniani.can you prove it to me before insulting them..?