Mshambuliaji wa Wolfburg afungiwa kisa kugoma kusaini jezi yenye rangi za upinde

Mshambuliaji wa Wolfburg afungiwa kisa kugoma kusaini jezi yenye rangi za upinde

You can Google mkuu hyo familia kwanza wanaowa wenyewe kwa wenyewe yaani huruhusiwi kuoa nje ya familia they control many president in the world na ndio huwa wana mamlaka ya bei kwenye soko la mafuta duniani.
okay
 
Ukitaka kujua Umoja wa Machoko una nhuvu, tayari jamaa ameshasurrender na kuomba msamaha.

Tazama 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20241009_214918_Chrome.jpg
    Screenshot_20241009_214918_Chrome.jpg
    137.8 KB · Views: 3
Hilo tatizo lilitokea Sana ufaransa walipolazimisha huo upuuzi na wachezaji wengi Kugoma wakiongozwa na wachezaji wenye asili ya Afrika .
 
Back
Top Bottom