Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

Na mzizi mkavu
 
Humu JF watu kujifanya wanajua Kuhukumu wenzao, as if wanawajua,kumbe apart from jina feki na sura feki hamna chochote wanachojua,zaidi ya kuotea otea thread zao,mshindwe
 
Humu JF watu kujifanya wanajua Kuhukumu wenzao, as if wanawajua,kumbe apart from jina feki na sura feki hamna chochote wanachojua,zaidi ya kuotea otea thread zao,mshindwe
Waambie hao lin
 
hebu nisaidia kutuwekea link za hizo mada, mie mwenyewe nishatamani kufatilia kwa ukaribu na kila ukiweka unitag niweze kufatilia kwa Ukaribu, hayo mambo unayoongea ni tangu Enzi za Nabii Suleyman lol. kuwafahamu hawa mashetani na wafuasi wake hatujakazwa.
 
Agent wa shetani ninayemjua mimi ni Faizafoxy tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Shetani CCM
 
Ni maoni yako ahsante kwa kutujuza ila mwisho wa siku wote / wengi humu ni watu wazima tunajua baya na zuri...
....not true, watu wazima ndo wanaoingizwa chaka vibaya sana, afadhali watoto wakiamini Mungu huwayumbishi....
 
Agent wa shetani ninayemjua mimi ni Faizafoxy tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Shetani CCM
hili sidhani.....FF ana misimamo yake ila sio kama hii ya mshana,ya makaburi na paka weusi
 
cheki nae atakupa link zote...tena ulivyo mrembo...sekunde tu
 
hujanishawishi hata kidogo kutofuatilia threads za huyu jamaa. kwa ufupi namkubali sana na mmoja ya watu wanaonikosha kwa mada na maoni yao. vivaa Mshana Jr.
unaweza kutaja faida hata mbili tatu ukizopata kutoka kwake,
zaidi ya kukutia hofu na mwisho wa siku unaangukia mikononi nwa waganga wa kienyeji na kuishia kuwa mtumwa wa shetani.
 
ni kweli ila namna anavyozifichua hizo siri za huko kuzimu ni kama anawainspire na kuwafundisha wakifanye hicho ambacho anawaambia...he is the Trainer,and not a Trainee
huu ndio ukweli namna anavyowasilisha mada zake ukizitazama kwa undani utagundua lengo lake ni kuwashawishi wanaomfuatilia kuendelea kuwajaza imani za kishirikina.
 
unaweza kutaja faida hata mbili tatu ukizopata kutoka kwake,
zaidi ya kukutia hofu na mwisho wa siku unaangukia mikononi nwa waganga wa kienyeji na kuishia kuwa mtumwa wa shetani.
mkuu mbona povu jingi jingi?? nani kakwambia nikisoma mada za huyu jamaa napata hofu? nani kakwambia nimeshakwenda kwa waganga wa kienyeji kwakua nilisoma posts zake? mkuu umetumia kigezo gani kujua naelekea kua mtumwa wa shatani?
just a very little advice: you better learn to think positive. so kila msoma biblia ni mkristu!!
 
Binafsi namkubali sana Mshana Jr mitizamo yake hasa inayohusu uzalendo,Kama yupo hivyo atajua yeyevingawa kiimani tunaambiwa,chukua jema hata kama linatoka kwa shetani
shetani kama alivyo hana jema,
kutafuta jema kwa shetani ni kujidanaganya.
 
Humu JF watu kujifanya wanajua Kuhukumu wenzao, as if wanawajua,kumbe apart from jina feki na sura feki hamna chochote wanachojua,zaidi ya kuotea otea thread zao,mshindwe
mtoa mada katoa maoni yake na ushauri,
una haki ya kuukubali au kuukata
kiukweli binafisi nimemwelewa alichomaanisha muhimu kaa mbali na hizo mada za kichawi zinazohamasisha ushirikiana zitakupeleka motoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…