mkuu faida ulizopata ni zipi kwa kuelezwa mchanganyiko wa vifaa vya. kichawi?mkuu mbona povu jingi jingi?? nani kakwambia nikisoma mada za huyu jamaa napata hofu? nani kakwambia nimeshakwenda kwa waganga wa kienyeji kwakua nilisoma posts zake? mkuu umetumia kigezo gani kujua naelekea kua mtumwa wa shatani?
just a very little advice: you better learn to think positive. so kila msoma biblia ni mkristu!!
Faida zipo nyingi mno hasa unapofahamu njia watumiazo watu wabaya "washirikina" kukuloga.unaweza kutaja faida hata mbili tatu ukizopata kutoka kwake,
zaidi ya kukutia hofu na mwisho wa siku unaangukia mikononi nwa waganga wa kienyeji na kuishia kuwa mtumwa wa shetani.
mkuu sioni sababu ya wewe kutaka kuorodheshewa faida. labda kama tu unataka kujitia ubutu kifikra kwamba hata huu ukweli kwamba"one's mind, once stretched by new idea, never regains its original dimension" huoni uwepo wake katika maisha yako!mkuu faida ulizopata ni zipi kwa kuelezwa mchanganyiko wa vifaa vya. kichawi?
mbona swali rahisi.
Nenda kwenye browser uisearch utaipataNiliwahi andika topic who s mshana jr mwaka jan a lakin haikupata wachangiaji sasa mmeibuka na kunpakazia ndugu yangu huyu mkatoliki anaelewa ushetani ukristu uaetheist na uislam kidogo
Katika yote akaamua kumfuata mungu mmoja yote anayofundisha ili mjue kuna vitu dunian vya namna hiyo vijue au viache
Basi
Kaka mshana jr ni optimist
Ni vimnyama vyenye maumbo kama ya binadamu lakini yenye kasoro nyingi kwenye viungo vyakeMkuu Mshana Jr Naomba unieleweshe vinyamkera ni kitu gani?Asante.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]MSHANA NIFUNDISHE JINSI YA KUCHUKUA MTU MSUKULE KUNA MTU NATAKA NIMFANYE MSUKULE WANGU
Ili ujue dini yako kama n sahh ni lazma usome na dini za wengine. Huwezi kusema dini yako sahh ukiwa hujui dini za wengine znasema nnAkitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...
Sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF... Na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....
1) Kuweni makini na anayoyasema
2) Na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3) Mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4) Na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5) Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu
Hayo ni maoni yangu..
HAHAHAHA NACHEEKA[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Reincarnation au uzima wa milele.Kila ukifa unafufuka tena
Kwa tabia yake na mwenendo wake I am sure he is.Ila bado anayo nafasi ya kuchomoka kutoka kwenye makucha ya Shetani.Akitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...
Sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF... Na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....
1) Kuweni makini na anayoyasema
2) Na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3) Mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4) Na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5) Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu
Hayo ni maoni yangu..
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwa tabia yake na mwenendo wake I am sure he is.Ila bado anayo nafasi ya kuchomoka kutoka kwenye makucha ya Shetani.