Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

mkuu faida ulizopata ni zipi kwa kuelezwa mchanganyiko wa vifaa vya. kichawi?
mbona swali rahisi.
 
unaweza kutaja faida hata mbili tatu ukizopata kutoka kwake,
zaidi ya kukutia hofu na mwisho wa siku unaangukia mikononi nwa waganga wa kienyeji na kuishia kuwa mtumwa wa shetani.
Faida zipo nyingi mno hasa unapofahamu njia watumiazo watu wabaya "washirikina" kukuloga.
Mfano kama unaelewa na unaishi kwny nyumba za kupanga huwezi anika nguo za ndani kihasara-hasara maana mbaya wako akiipata anakumalixa kiulaini.....

Pia tambua kwamba kauli yako unayoitoa unapoulizwa swali inaweza kutumiwa na mchawi ktk kuhakiki uchawi ulotengenezewa. Mfano unawezapigiwa simu mtu akakuuliza jumapili utakuwepo nyumbani? Ukamjibu "sitakuwepo" basi neno hilo linaweza kupitishia hati yako ya kifo na siku hiyo ukafa usiwepo duniani. Unapaswa kujibu utakuwa wapi.

Kuna hawa wazee wanaopenda kuomba vishilingi 100 au 200 vya ugoro. Unajua wengine wanafanyia nin?

Yapo mengi ya kujifunza na kikubwa zaidi unajifunza USIPOKUWA VERY CLOSE NA MUNGU NI KIASI GANI WACHAWI WATAKUCHEZEA.

Achana na hawa wanaoenda ktk nyumba za ibado huku maisha yao ya kila siku ni dhambi tupu.

Mshike mungu wako kwa matendo.
 
hayo uliyoeleza ni kweli waweza kuyafahamu na kujitahidi kujiepusha nayo,
lakini ninachojua huwezi kumshinda mchawi kwa kujaribu kujiepusha naye ktkt mazingira ya vitu vionekanavyo kwa macho ya nyama.
kwani anayo nguvu isiyoonekana anayoweza kuitumia kukunasa,
unaweza jitahidi kujiepusha na hayo yote ukaishia kunaswa

ukinaswa ndipo hoja ya mtoa mada inaposimama kwamba utalazimika kurudi kwa mshana ili akupe mbinu zaidi hapo ndipo utaangukia kwenye ulimwengu wa giza na kutumbukia kwenye shimo leeeeefu la utawala wa shetani.

MUHIMU:ili uweze kuwashinda wachawi. unatakiwa kuwa na nguvu kubwa zaidi yao na nguvu hii haipatikani popote zaidi ya kwa YESU tu.
 
mkuu faida ulizopata ni zipi kwa kuelezwa mchanganyiko wa vifaa vya. kichawi?
mbona swali rahisi.
mkuu sioni sababu ya wewe kutaka kuorodheshewa faida. labda kama tu unataka kujitia ubutu kifikra kwamba hata huu ukweli kwamba"one's mind, once stretched by new idea, never regains its original dimension" huoni uwepo wake katika maisha yako!
 
Niliwahi andika topic who s mshana jr mwaka jan a lakin haikupata wachangiaji sasa mmeibuka na kunpakazia ndugu yangu huyu mkatoliki anaelewa ushetani ukristu uaetheist na uislam kidogo
Katika yote akaamua kumfuata mungu mmoja yote anayofundisha ili mjue kuna vitu dunian vya namna hiyo vijue au viache
Basi
Kaka mshana jr ni optimist
 
Nenda kwenye browser uisearch utaipata
 
MSHANA NIFUNDISHE JINSI YA KUCHUKUA MTU MSUKULE KUNA MTU NATAKA NIMFANYE MSUKULE WANGU
 
Ili ujue dini yako kama n sahh ni lazma usome na dini za wengine. Huwezi kusema dini yako sahh ukiwa hujui dini za wengine znasema nn
 
Kwa tabia yake na mwenendo wake I am sure he is.Ila bado anayo nafasi ya kuchomoka kutoka kwenye makucha ya Shetani.
 
Tatizo hakuna hapo..kama ni kusoma tu threads na kuachana nazo hamna ubaya .....tatizo kama kungekuwa na watu wanamuabudu
 
mshana jr Endelea kushusha mawe juu ya mawe mpaka siku uje ukae juu ya mawe.wengine waje wazaliwe juu ya mawe waendelee kuyatumia hayo mawe.....dunia ina mambo mengi na shulen hayafundishwi...Mimi nashukuru mada za humu jf kuhusu mambo ya kiroho yamenisaidia kusolve baadhi ya matatizo baada ya kutambua tiba nzuri ni ipi kati ya ibada kwa Mungu na tiba kwa upande wa pili......God bless u Mshana Jr....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…