mkuu faida ulizopata ni zipi kwa kuelezwa mchanganyiko wa vifaa vya. kichawi?mkuu mbona povu jingi jingi?? nani kakwambia nikisoma mada za huyu jamaa napata hofu? nani kakwambia nimeshakwenda kwa waganga wa kienyeji kwakua nilisoma posts zake? mkuu umetumia kigezo gani kujua naelekea kua mtumwa wa shatani?
just a very little advice: you better learn to think positive. so kila msoma biblia ni mkristu!!
mbona swali rahisi.