Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]Kwa hiyo masomo ya kiroho NI bibilia tu.Dini ziko nyingi sana kila mtu anachagua inayo mfaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]Kwa hiyo masomo ya kiroho NI bibilia tu.Dini ziko nyingi sana kila mtu anachagua inayo mfaa
Watu wamekariri kuna Hinduism , Buddha, Taoism, Sikhism, Shamanism, shinto, caodiasm , bahai, jainism, confuniasm,Kwa hiyo masomo ya kiroho NI bibilia tu.Dini ziko nyingi sana kila mtu anachagua inayo mfaa
Asante ndugu,me mwenyewe nilishasita kuingia kwenye jukwaa Lao LA intelligence..... Naamini only Holy Bible is the standard of my life.
Za baridi hakuna labda bingwa au safariKiki
Makufulism someshanambazimWatu wamekariri kuna Hinduism , Buddha, Taoism, Sikhism, Shamanism, shinto, caodiasm , bahai, jainism, confuniasm,
Neno la busaraStandard of your life wakati juzi umenivurumushia mimatusi mikubwa hiyoo??
Sasa kwa mitusi ile sisi tusiosali mtatuvutaje huko kwa Mungu?
Kiukweli haipendezi washika dini mkawa mnatukana kama sisi tusioamini.(Ni mtazamo tu)
mjomba hakuna MLEVI HATARI kama MLEVI WA DINI ....hata wa madawa ya kulevya hawafui dafuStandard of your life wakati juzi umenivurumushia mimatusi mikubwa hiyoo??
Sasa kwa mitusi ile sisi tusiosali mtatuvutaje huko kwa Mungu?
Kiukweli haipendezi washika dini mkawa mnatukana kama sisi tusioamini.(Ni mtazamo tu)
Mshana Jr mimi naona uendelee na masomo yako maana tunao faidi ni wengi kuliko hao wachache halafu mkataa ya wengi yeye ndye mchawi,na kila kitu kilichopo dunia Mungu amekileta kwa maksudio yake,ukiona unapotoshwa usifungue kusoma,watu kama nyie msio penda wenzenu wapate Elimu mbali mbali hamfai kizuri kula na mwenzioView attachment 281821hayo ni mafuta ya mzeituni na matunda yake paka usoni na viganjani Changanya na chumvi kidogo Halafu nuizia mambo yako
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115]Jamaa amekupaisha sana nahc hata ambao walikua hawajui wamekujua,amekupigia promo la nguvu
[emoji31] [emoji31] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Nafanya Vetting.....Ya [HASHTAG]#Mshana[/HASHTAG]
Nyie ndo wale manabii wa uongo mnaemuona Mshana Jr ni adui kwenu anayewapotezea wafuasi kwa mazingaombwe yenu madhabahuni...hatumwogopi na hatutoogopa anachokiandika kamwe....maana mnajua tutaujua ukweli yaliyo wazi na yaliyojificha katika dunia hii...Akitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...
Sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF... Na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....
1) Kuweni makini na anayoyasema
2) Na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3) Mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4) Na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5) Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu
Hayo ni maoni yangu..
Hahahaaa msamehe bureNyie ndo wale manabii wa uongo mnaemuona Mshana Jr ni adui kwenu anayewapotezea wafuasi kwa mazingaombwe yenu madhabahuni...hatumwogopi na hatutoogopa anachokiandika kamwe....maana mnajua tutaujua ukweli yaliyo wazi na yaliyojificha katika dunia hii...
Itakuwa anga za sumbawangammegongana anga zipi? wewe na mwenzio?
Uzuri ni kuwa akishazeeka anakuwa malaika tena.Shetani ni nani ?
Kwa mujibu wa Biblia alikuwa ni malaika kule mbinguni lakini alimwasi Mungu aliyemuumba na kutolewa huko na kusubiri hukumu ya moto wa milele pamoja na wafuasi wake.
Imani ikipitiliza, unakufa ukiwa mjinga. Angalia kwa mfano, kote walikozaliwa mitume ni shida tupu. Sometimes, kwenye maisha BUSARA NA HEKIMA ni vitu vyema sana.mshana jr Endelea kushusha mawe juu ya mawe mpaka siku uje ukae juu ya mawe.wengine waje wazaliwe juu ya mawe waendelee kuyatumia hayo mawe.....dunia ina mambo mengi na shulen hayafundishwi...Mimi nashukuru mada za humu jf kuhusu mambo ya kiroho yamenisaidia kusolve baadhi ya matatizo baada ya kutambua tiba nzuri ni ipi kati ya ibada kwa Mungu na tiba kwa upande wa pili......God bless u Mshana Jr....
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uzuri ni kuwa akishazeeka anakuwa malaika tena.