Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yang kinachotokea ni kwamba nimeamua kuvunja mwiko na kuongea kwa uwazi yale ambayo yalidhaniwa kuwa ni taboo kuyaongelea au la kuyajadili kwa uwazi na undaniTujaribu kuwa open minded
Mshana anaongea aliyokutana nayo sijajua huo uagent kaupatia wapi Na Lini alikaa Na huyo shetani
Dunia haipo rahisi Kama tunavyoichukulia
Tuwe philosophical zaidi kuliko emotional at least tutaendelea
Evelyn Salt Heri yako umejibiwa...yaani mi swali langu kanigomea kunijibu, hajui navyoteseka kwa ajili ya baby wangu!mshana jr ahsante kwa hii dawa ya kumuweka mme kiganjani hivi ulisema mtoni inatupwa usiku au mchana?
kuna siku nilisema huyu mtu ana mapepo!!!!!
Mtoe sasa hayo mapepokuna siku nilisema huyu mtu ana mapepo!!!!!
Mtoe sasa hayo mapepo
Wakati ye mweyewe anahitaji kukemewa tehHaa haaa..na kweli ayakemee kwa jina la yes.u.u!!!!
Hahhahaaaaa alfajiri kabla Maji hayajanajisiwa
Evelyn Salt Heri yako umejibiwa...yaani mi swali langu kanigomea kunijibu, hajui navyoteseka kwa ajili ya baby wangu!
Kama hamna mto je?
Evelyn Salt Heri yako umejibiwa...yaani mi swali langu kanigomea kunijibu, hajui navyoteseka kwa ajili ya baby wangu!
Hahhahaaaaa pole shosti... Huteseki kama mi ninavyoteseka
hayo ni mafuta ya mzeituni na matunda yake paka usoni na viganjani Changanya na chumvi kidogo Halafu nuizia mambo yakoPokea tu LIKE yangu kiroho safi kabisa bukoba boy
Pokea tu LIKE yangu kiroho safi kabisa bukoba boy
View attachment 281821hayo ni mafuta ya mzeituni na matunda yake paka usoni na viganjani Changanya na chumvi kidogo Halafu nuizia mambo yako