Unaniambia MM au mshanajr? kama Nguli kama Sir Isack Newton aliwahi kukiri kwamba sehemu sahihi unapoweza kupata uhakika wa uwepo wa binadamu ni kwenye Biblia,na theory nyingine zote hazina mashiko,wewe U nani Hata upate Ujasiri wa Kukiri kwa kinywa chako kilichojaa Laana KUU,kwamba MUNGU hayupo? kwa Elimu,Weledi,Ukuu,Pesa,Akili,Sifa au chochote kile cha kumzidi Sir Isack Newton? U Nani wewe? wapagani wengi,kama nyie huwa Mnajionyesha mbele za watu ili kupata sifa tu,hamna lolote lingine lenye Mantiki,linalowafanya kuwa wapagani....ni ufinyu wa akili,na ubishi usio na maana